Kitaalam, alichomaanisha Polepole ni hiki

Kitaalam, alichomaanisha Polepole ni hiki

siku zote huwa nasemaga,kwa mtu mwenye akili timamu+uelewa hawezi poteza muda,nguvu zake akaenda kukaa foleni kupiga kura

Ova
 
Chukuwachakomapema mchezo kwishnei!
Majangili, wezi, waongo, magilibu, hawana uzalendo, wanaiharabu nchi waziwazi!
Hawafai hata kidogo!
 
Wapuuzi sana hawa watu mwaka jana wakati wa uandikishaji wapiga kura uchaguzi wa serikali za mitaa ulihitimishwa saa kumi jioni na kesho yake alfajiri Mchengerwa anatangaza idadi ya watu waliojiandikisha kwa nchi nzima, hawana hata mishipa ya aibu kuongopa.
CCM hawataki raia wote tujiandikishe katika daftari
 
Hili la uhakiki likifanyika na chombo kingine independent, NEC tunawavua nguo mchana kweupe
 
Ni masikitiko katika taifa, WAHAINI ni CCM Wala sio Tundu Lissu, watanganyika tusimame imara kwa hili.
Ninakubaliana nawe kuhusu "waTanganyika kusimama imara kwa hili". Swali muhimu ni "kusimama imara" kwa namna zipi/njia gani?
Hili ndilo swali tunalotakiwa kukuna vichwa vyetu kulitafutia jibu.
Samia na Genge lake wamepania hasa kututawala kwa nguvu; hata ikibidi kuua baadhi yetu kama hiyo ndiyo njia itakayo wahakikishia kuendelea kututawala.
 
TZ

Mifumo hii imeunganishwa vipi, kupitia kadi yako ya NIDA, walichokifanya ni kuongeza idadi ya watu waliojiandikisha kupiga kura kabla ya kutoa idadi ya waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ( ndio sababu ilikua kubwa )

Kwa maana ya kwamba kama hukujiandikisha kupiga kura possibility ya wewe kuwa katika daftari la kupigia kura ni kubwa kwa sababu tu tayari taarifa zako za NIDA walikua nazo.

Wengi ambao hawana kadi ya kupiga kura ( wengi wakiwa vijana ) , hawakuhangaika hata kwenda kujihakiki katika daftari la mpiga kura sababu wanajua hawapo, hapo ndio uhaini ulipofanyika, baada ya mlango wa kuhakiki kufungwa na kabla ya kutangazwa, daftari likaongezwa taarifa kutoka NIDA ( Ambapo kuna taarifa zako zote, picha yako na fingerprint yako ). Kwa mifumo ya IT hii ni process isiyochukua hata dakika 3 kuongeza hata zaidi ya 10M voters.

Sasa siku ya kupiga kura, sababu unaamini huna vigezo, hautatokea kituoni, ila wakija kuhesabu baadae ( baada ya kuongeza box za kura feki ambazo zitakua na kura zenye taarifa halali kutoka NEC ) utajikuta upo katika orodha ya watu waliopiga kura

Ni nini tume ya uchaguzi ifanye kutuhakikishia kuwa kama sikujiandikisha basi taarifa zangu hazipo NEC, waweke portal ambayo mtanzania yoyote anaweza ingiza NIDA ( sio namba ya mpiga kura ) yake kuangalia kama yuko katika daftari la mpiga kura. Na hii portal iwe wazi mda wote ( kabla na baada ya uchaguzi )

Nyongeza
Tukumbuke pia CCM wana access sio tu na mfumo wa NIDA, bali hata RITA, kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa kuwa wapiga kura wakawa ndugu zetu waliokwisha tangulia mbele ya haki, as long as alishawahi jiandikisha na daftari la mpiga kura.
Duh, mbona mfumo wa upigaji kura hapa kwetu upo complicated mno, na hii ni sababu ya kuwa wateule wote wa taasisi zote hyaani NIDA, INEC, RITA wote wanateuliwa na Rais, je kwa style hiyo watashindwa kutekeleza matakwa ya boss wao...!!?

Tatizo linaanzia hapo, Uhuru wa taasisi hizi na hapo ndo maana tunataka Katiba mpya ili kupunguza madaraka ya Rais ya kuwa yeye ndo mteuzi wa kila taasisi hyaani ( BOSS )
 
Wapuuzi sana hawa watu mwaka jana wakati wa uandikishaji wapiga kura uchaguzi wa serikali za mitaa ulihitimishwa saa kumi jioni na kesho yake alfajiri Mchengerwa anatangaza idadi ya watu waliojiandikisha kwa nchi nzima, hawana hata mishipa ya aibu kuongopa.
Mtaji wao mkubwa ni watu kutojiandikisha kupiga kura
 
Duh, mbona mfumo wa upigaji kura hapa kwetu upo complicated mno, na hii ni sababu ya kuwa wateule wote wa taasisi zote hyaani NIDA, INEC, RITA wote wanateuliwa na Rais, je kwa style hiyo watashindwa kutekeleza matakwa ya boss wao...!!?

Tatizo linaanzia hapo, Uhuru wa taasisi hizi na hapo ndo maana tunataka Katiba mpya ili kupunguza madaraka ya Rais ya kuwa yeye ndo mteuzi wa kila taasisi hyaani ( BOSS )
Hakukua na haja ya kuwa na namba ya mpiga kura au daftari

Ila mtaji mkubwa umepatikana kwa wale ambao hawakujiandikisha
 
Huu ni uongo kwakuwa kura zinapigwa kupitia makaratasi na sio mfumo.

Ingekuwa ni mfumo unatumika hapo sawa ila kwa njia hii ya kura za makaratasi mnatupiga kamba tu hapa.
 
Manyaya ya polepole yanayowapa kiburi viongozi wa ccm pamoja na haya tunafahamu hakuna uchaguzi bila haya manyaya kukaguliwa na reform kufanyika👇👇
 

Attachments

  • downloadfile-27.jpg
    downloadfile-27.jpg
    61.6 KB · Views: 25
TZ

Mifumo hii imeunganishwa vipi, kupitia kadi yako ya NIDA, walichokifanya ni kuongeza idadi ya watu waliojiandikisha kupiga kura kabla ya kutoa idadi ya waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ( ndio sababu ilikua kubwa )

Kwa maana ya kwamba kama hukujiandikisha kupiga kura possibility ya wewe kuwa katika daftari la kupigia kura ni kubwa kwa sababu tu tayari taarifa zako za NIDA walikua nazo.

Wengi ambao hawana kadi ya kupiga kura ( wengi wakiwa vijana ) , hawakuhangaika hata kwenda kujihakiki katika daftari la mpiga kura sababu wanajua hawapo, hapo ndio uhaini ulipofanyika, baada ya mlango wa kuhakiki kufungwa na kabla ya kutangazwa, daftari likaongezwa taarifa kutoka NIDA ( Ambapo kuna taarifa zako zote, picha yako na fingerprint yako ). Kwa mifumo ya IT hii ni process isiyochukua hata dakika 3 kuongeza hata zaidi ya 10M voters.

Sasa siku ya kupiga kura, sababu unaamini huna vigezo, hautatokea kituoni, ila wakija kuhesabu baadae ( baada ya kuongeza box za kura feki ambazo zitakua na kura zenye taarifa halali kutoka NEC ) utajikuta upo katika orodha ya watu waliopiga kura

Ni nini tume ya uchaguzi ifanye kutuhakikishia kuwa kama sikujiandikisha basi taarifa zangu hazipo NEC, waweke portal ambayo mtanzania yoyote anaweza ingiza NIDA ( sio namba ya mpiga kura ) yake kuangalia kama yuko katika daftari la mpiga kura. Na hii portal iwe wazi mda wote ( kabla na baada ya uchaguzi )

Nyongeza
Tukumbuke pia CCM wana access sio tu na mfumo wa NIDA, bali hata RITA, kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa kuwa wapiga kura wakawa ndugu zetu waliokwisha tangulia mbele ya haki, as long as alishawahi jiandikisha na daftari la mpiga kura.
Maelezo Mujarabu....!
 
Ndio sababu Angela Kairuki kawekwa kugombea Kibamba mahali sidhani aliwahi kufika wakijua watampa kura feki😡
 
TZ

Mifumo hii imeunganishwa vipi, kupitia kadi yako ya NIDA, walichokifanya ni kuongeza idadi ya watu waliojiandikisha kupiga kura kabla ya kutoa idadi ya waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ( ndio sababu ilikua kubwa )

Kwa maana ya kwamba kama hukujiandikisha kupiga kura possibility ya wewe kuwa katika daftari la kupigia kura ni kubwa kwa sababu tu tayari taarifa zako za NIDA walikua nazo.

Wengi ambao hawana kadi ya kupiga kura ( wengi wakiwa vijana ) , hawakuhangaika hata kwenda kujihakiki katika daftari la mpiga kura sababu wanajua hawapo, hapo ndio uhaini ulipofanyika, baada ya mlango wa kuhakiki kufungwa na kabla ya kutangazwa, daftari likaongezwa taarifa kutoka NIDA ( Ambapo kuna taarifa zako zote, picha yako na fingerprint yako ). Kwa mifumo ya IT hii ni process isiyochukua hata dakika 3 kuongeza hata zaidi ya 10M voters.

Sasa siku ya kupiga kura, sababu unaamini huna vigezo, hautatokea kituoni, ila wakija kuhesabu baadae ( baada ya kuongeza box za kura feki ambazo zitakua na kura zenye taarifa halali kutoka NEC ) utajikuta upo katika orodha ya watu waliopiga kura

Ni nini tume ya uchaguzi ifanye kutuhakikishia kuwa kama sikujiandikisha basi taarifa zangu hazipo NEC, waweke portal ambayo mtanzania yoyote anaweza ingiza NIDA ( sio namba ya mpiga kura ) yake kuangalia kama yuko katika daftari la mpiga kura. Na hii portal iwe wazi mda wote ( kabla na baada ya uchaguzi )

Nyongeza
Tukumbuke pia CCM wana access sio tu na mfumo wa NIDA, bali hata RITA, kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa kuwa wapiga kura wakawa ndugu zetu waliokwisha tangulia mbele ya haki, as long as alishawahi jiandikisha na daftari la mpiga kura.
That's very possible, manake nakumbuka Kipindi Cha Magu alikua analalamika kwamba Serikali yake inawalipa mishahara Marehemu, sasa kama undava huo ulikua unafanyika kwa Serikali yenye vyombo vyote vya ulinzi including TISS sitashangaa kama raia wa Kawaida akiibiwa voting rights zake.
 
Mnajichekesha chekesha tu wapinzani wenyewe vijana wadogo mpo wachache CCM tupo zaidi ya milioni 11+ mnawaza kuibiwa kura chache. za uchache wanu !!!

Kwasasa. WATANZANIA hawana Iman na wapinzani.

Mnajisumbua kuwaza sana kuibiwa na pesa zenyewe huna!!!🤣🤣🤣

Fanyani tafiti Mtaelewa. Somo kuu wananchi chaguzi ya 2015 waliwachagua. WAPINZANI wengi kuwa Wabunge na walikesha kulinda izo kura.💪🏋‍♀️ mwisho Wabunge wengi wakatangazwa kushinda Ubunge Akiwemo LISU mnyika mzee Mbowe Lema Nasari prof J. Heche Wenje Halima Mdee Waitara Msingwa Michael Said Kubenea Jua kali Mturia Ester Buraya Bunda N.k

uyu Buraya bint ndio ilikuwa gumzo kubwa kwenye magazeti MEDIA mana kamgalagaza mzee Wassira,

ndio Wassira uyu uyu Makamu Mwenyekiti CCM Taifa wa leo.

Mzee Wassira hakakimbilia Mahakamani, napo pia Buraya kamgalagaza!! Mzee kasema bado tukutane Mahakama kuu Buraya bado Mshindi yeye 😆😆 mzee kakimbilia Mahakama ya Rufaa napo wapi Buraya kashinda
Apo sasa mzee Wassira wakashikana mikono na kijana wake Buraya kuwa sasa wewe ndio Mbunge wangu.

Tume ya Uchaguzi hii INEC sio nyengine.

Wapinzani waliaminiwa wengi sana miji ya Dar Arusha Moshi kote Wapinzani walitamba
chini ya tume ya Uchaguzi hiii

baadae nini kimetokea kwa Wapinzani Wabunge baadhi yao wakahamia CCM wakiwa tayali ni Wabunge yani Wananchi walichoka kinoma¿¿

wamewapigia kura na wakakesha Siku 4 kulinda kura leo unawasaliti wananchi wako kimewauma vibaya wananchi !!

ndiomana kwasasa wananchi na Upinzani paka na panya kitendo kile ndio kimeuwa Upinzani nchini sio NIDA sio mengine

uyo polepole ndio muhusika wa kushawishi Wabunge wapinzani kuamia CCM kama kuomba msamaha angejielekeza hapo ili ndio kosa lake,,
Sababu Wananchi mpaka kesho wamevunjika moyo na Upinzani

ndiomana CCM tunashinda kwa kishindo mfano chaguzi ya Serikali za mitaa mwaka jana CCM tumeshinda kwa 98% Wapinzani kwa pamoja wamepata 2%

mwaka huu CCM tutashinda sio chini ya 95%
Wananchi Bado hawana imani na Wapinzani wasasa.

Tatizo sio NIDA sio iNEC uwongo tu.

kesho tena utamwamini mpizani mwengine kuna siku nimeandika andiko kumuongelea LISU

LISU Kisayansi kapishana na nyakati za kufanya Siasa za kuitaji Wananchi yani Suport yao Kwasasa nikama Unateseka Buree kwamaana nguvu ya Upinzani ilikufa kutoka kwenye mikoa ile yenye vuguvugu la kipinzan yani MBEYA ARUSHA MOSH DAR IRINGA

ivyo Lisu nikama kukaa kwake ndani Upinzani wasasa hakuna kitu utavuna wala yeye hatopata chochote kwasasa zaid kuteseka kukaa ndani bureee

Siasa zake zasasa zinatakiwa kusubiri miaka 25 -30 ijayo kiwepo kizaz kipya kilichosaau Ujinga wa Upinzani waliowafanyia Wananchi wao.

mfano mm mwenyewe ninawajua vijana Mbeya ndio wakorofi kinoma kwenye kulinda kura kwasasa wapo CCM na ni wajumbe ndani ya CCM !!

uko Mbeya vijana wengi wameamia CCM Uchaguzi huu wa October28. Mtaelewa ninacho wakilisha kwenu

Sugu kashaelewa mchezo watu imani hawana na Upinzani japo yeye sio msaliti

Sababu kuu ileile nimewaambia uko juu.

Wameumia sana na kitendo cha Wabunge kuamia CCM mwaka 2015.

Wenye Akili tu ndio wataelewa somo langu ,,
 
Back
Top Bottom