Kitaa kimeninyoosha sana wadau

Kitaa kimeninyoosha sana wadau

Good People

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2016
Posts
938
Reaction score
1,819
Nakiri nimekoma mimi nimekoma sasa ajira hata zikitoka watafuata system ya First in First out au?

Nimechoka kitaa watoto wa matajiri huja na Comment za tafuta fursa ujiajiri kiukweli wanakatisha tamaa
 
Kwani kwa sasa umepata chimbo? funga safari uende Tunduru naona barabara zinatengrnezwa ukatafute nafasi..Wenda Mungu anaweza saidia
 
Mpwa sikiliza.wanaokushauri ujiajiri wako sahihi.Utasubiri ajira mpaka lini? Anza na baashara yoyote kulingana na mazingira yako.Jiulize,katika maisha yako unataka kuwa tajiri au unataka kupata fedha ya hand to mouth ? Walioajiriwa wengi mshahara wao ni hand to mouth.
 
Nakiri nimekoma mimi nimekoma sasa ajira hata zikitoka watafuata system ya First in First out au?

Nimechoka kitaa watoto wa matajiri huja na Comment za tafuta fursa ujiajiri kiukweli wanakatisha tamaa
1471685181172.jpg
1471685189089.jpg
 
Back
Top Bottom