Kitaa kimeninyoosha sana wadau

Kitaa kimeninyoosha sana wadau

Tafuta kimtaji hata cha m2,anzisha kabiashara, katakusaidia.
Kimtaji hata cha m2!! Dah inaonekana wewe mambo yako safi, mtaji wa m2 anapataje kwa mfan? msaidie mwenzio maana hiyo m2 unayoizungumzia mwenzio toka kuzaliwa hajawai kuishika.
 
Watatumia priority mkuu, kama una low priority utasugua tena mkuu
 
Back
Top Bottom