KISWAHILI: Naomba maana ya maneno haya...

Kuna maneno sijajibiwa lakini naamini kuna watanzania wanaweza kunisaidia. Kuna wanaosema Computer ni Tarakirishi, sasa naona kuna Ngamizi sijui ni lipi sahihi. Hivi hakuna mtanzania anayejua kiswahili chake kilichokubalika?

Nisaidieni tafadhali!

Kenya Wanatumia Ngamizi Sisi Tumetohoa Kompyuta
 
Kaka Worm, nimejaribu kuandika maana ya baadhi ya hayo maneno,lakini Waungwana wengine Ruksa kunisahihisha;

1. Fala - Mjinga,Mzembe.

2. Nyomi - Wingi.

3. Mdebwedo - Nafikiri neno hili lina maana sawa na Mdabwada
(nguo chakavu)

4. Mswano - Nzuri,neno hili lina asili ya kigogo.

5. Tinginya - Kubwa.

6. Chelea Pina - Mambo poa/mambo mazuri
(Neno hili lilikuwa linatumiwa sana kwenye
gazeti la sani)

7. Msela - Mjanja,Bitozi.

8. Mneli - Sifahamu maana yake.

9. Msuba - Bangi,Hashish,Ganja,Jani kubwa etc

10. Fyatu - Kupungukiwa akili,kichaa.
8. Mneli - Bangi😅
 
Back
Top Bottom