Kuna maneno sijajibiwa lakini naamini kuna watanzania wanaweza kunisaidia. Kuna wanaosema Computer ni Tarakirishi, sasa naona kuna Ngamizi sijui ni lipi sahihi. Hivi hakuna mtanzania anayejua kiswahili chake kilichokubalika?
Nisaidieni tafadhali!
Kenya Wanatumia Ngamizi Sisi Tumetohoa Kompyuta