Kiswahili lugha yetu lakini wewe acha tu

Kiswahili ni kibantu na neno moja la kibantu inakuwa na maana zaidi ya moja kulingana na matamshi

Mfano nyungu, mtungi, chungu so ukiziweka ktk sentesi

Mtoto kapasua nyungu yangu

Mtoto kapasua chungu changu

Mtoto kapasua mtungi wangu

ndo ujue kiswahili hakijabarehe ndo bado kinakua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom