Hivi mtu ambae mmeoa katika familia moja, we umeoa mkubwa yeye kaoa mdogo unamuitaje? Mke wa mjomba ni sahihi kumuita shangazi? Mume wa shangazi unamuitaje? Baba yangu anamuitaje baba mkwe/mama mkwe wangu?
Mtu ambae mmeoa katika familia moja, we umeoa mkubwa yeye kaoa mdogo unamuitaje? Mume mwenza
Mke wa mjomba ni sahihi kumuita shangazi? Si sahihi........muite Mama Shangazi
Mume wa shangazi unamuitaje? Baba Shangazi
Baba yangu anamuitaje baba mkwe/mama mkwe wangu? Kivyele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.