Kiswahili cha Magufuli kinahitaji msasa

Kiswahili cha Magufuli kinahitaji msasa

Mtu ana miaka karibu 60 sasa unataka afundishwe matamshi yatakayo kuridhisha wewe ya kiswahili? Hiyo ndio priority ya wananchi wa Tz kwa sasa. Wazo lako ni mfu.
basi aongee hicho kiinglish ,lugha ya taifa lazima ienziwe
 
Sikiliza yaliyomo kwenye ujumbe usisikilize utamu wa lugha, kuna wenye lugha muafaka na pumba wanazotoa unaona aibu wewe msikilizaji. mdukuzi
mi natetea lugha yangu ya Taifa jamani,lugha adhimtena ningependa aongee hiyo tu kwa muda wote aachane na Kiinglish
 
Kuna watu wamekuwa wakijadili umahiri wa Lugha ya Malkia kwa MTUKUFU MHESHIMIWA RAIS DOKTA Magufuli.
Lakini kiukweli tatizo halipo katika Lugha ya malkia bali Lugha kwa ujumla
Ukimsikiliza kiswahili chake sio standard anatafuna maneno na mengine hawezi kuyatamka ana misamihati michache sana ya kiswahili
wataalamu wa linguistic pale BAKITA na TUKI fanyeni kazi yenu
Mungu amegawa vipaji tofauti,kujua lugha ni kipaji ila hata wasio na kipaji wakipigwa msasa wanakuwa na angalau.
HHakuna kituJPM atamridhisha kila mtu its time now to leave him alone apige kazi.wewe unajua kiswahili?
 
HHakuna kituJPM atamridhisha kila mtu its time now to leave him alone apige kazi.wewe unajua kiswahili?
mi nimezaliwa tumbatu nitaachaje kujua kiswahili
 
Mi ninachojua Kiswahili ni kigumu sana kuliko hata Kiingereza.

Hii ndiomaana pamoja na kwamba wewe unahoji matamshi ya lugha hiyo kwa Magufuli, lakini tayari nawe umeshachemsha hapa.

Hivi neno "Misamihati" ni lugha gani?

BACK TANGANYIKA
 
Sikiliza yaliyomo kwenye ujumbe usisikilize utamu wa lugha, kuna wenye lugha muafaka na pumba wanazotoa unaona aibu wewe msikilizaji. mdukuzi
Sie watu wapwani tukisikia mtu anaongea vile tunaona anatuharibia lugha yetu na tunasema huyu anaongea nini tunatamani kuzima luninga au redio kwa hiyo ujumbe unaweza usimfikie mlengwa
 
Ni misamiati bro, sio MISAMIHATI
Asante kwa marekebisho hata hivyo mimi ni kiumbe mdogo kama sisimizi hata nikikosea haina madhara kwa Taifa ila Ttukufu ni mkuu kama Goliath lazima kila afanyalo liwe kamilifu na lenye utukufu mbele ya hadhara
 
mdukuzi , wewe sema yote lakini "ukiemba dukani dai risiti"! 😀😀😀
 
Lugha ya taifa ndio lugha pekee ya kujidai nadhani ameathiriwa na mother tongue
Manji na wazazi wake wote wamezaliwa Tanzania lakini sikiliza kiswahili chake, hata hiyo ya Magafuli ni mother tongue.
 
Asante kwa marekebisho hata hivyo mimi ni kiumbe mdogo kama sisimizi hata nikikosea haina madhara kwa Taifa ila Ttukufu ni mkuu kama Goliath lazima kila afanyalo liwe kamilifu na lenye utukufu mbele ya hadhara
Hakuna binadam awezaye kufany mamb yte kamilifu, hiyo ndo nature ya ubinadam
 
Manji na wazazi wake wote wamezaliwa Tanzania lakini sikiliza kiswahili chake, hata hiyo ya Magafuli ni mother tongue.
wahindi wahuni hawana uzalendo wazee wa fursa na pia kama ulivyosema mother tongue ina athiri pakubwa
 
Inaonyesha kiswahili alikijulià akiwa secondary mother tongue imemuathiri sasa hivi hawezi kubadilika tena na kiswahili chake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom