Kipo sawa tu kaka, tatizo lipo wapi?
Rahaja za Kiswahili zipo nyingi ndugu, na zote zinatambuliwa kuwa ni Kiswahili:
Mfano:
Kibajuni
Kiamu
Kifundi
Kimatondoni
Kimgao
Kimrima: spoken around Pangani, Vanga, Dar es Salaam, Rufiji and Mafia Island.
Kimvita
Kimwini
Kipate
Kipemba
Kishamba
Kisiu
Kiunguja: spoken in Zanzibar City and environs on Unguja (Zanzibar) Island. Other dialects occupy the bulk of the island.
Chichifundi
Chijomvu
Chimwiini
Kimrima
Kimvita
Kimwani
Kingare
Kitikuu
Kitumbatu
Kivumba
Remember, Modern standard Swahili is based on Kiunguja
Mfano mwingine soma ili shairi, ni Kiswahili cha Kibajuni:
NALILIA UBAJUNI
Nalilia ubajuni, ilahi achusitiri
kivakumbuka moyoni, dua dhangu hukithiri
Mungu atachuawini, achupe kula la kheri
hali dhechu masikini, dhiko kachika hatari
Kidhikumbuka dhamani, dhangu imi kunyukiya
chwaliko chuna samani, vabajuni nakwambiya
chuki-ishi mahondeni, kwa dhakula na afiya
siku hidhi masikini, mangi amechupoteya