Nuraty J
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 1,729
- 3,829
ila kwann haiambii mahakama kuwa walimtesa polisi, sijasikia akisema ilo mahakamani, ila nikweli aliteswa sn inaonyeshaHapana, jela sio jehanamu. Ila wamemfanyia touchering kubwa sana. Wangapi wameenda jela? Mbona mzee Ruge mpaka leo yupo jela, na hatembei kama Kabendera?