Nuraty J
JF-Expert Member
- Sep 18, 2018
- 1,729
- 3,829
sijakuelewaMbona siku hizi zile articles za "The economist" hatuzioni tena...
Kumbe kuna ukweli flani juu ya tuhuma kuwa alikuwa yeye ndio mwandishi...
sijakuelewaMbona siku hizi zile articles za "The economist" hatuzioni tena...
Kumbe kuna ukweli flani juu ya tuhuma kuwa alikuwa yeye ndio mwandishi...
Arse-hole.
Bado hajakutwa na hatia, he is still a suspect. Ni sawa na wengi wetu tunavyoamini Jiwe na Zero wanahusika na shambulio la Lissu ila hatuna uwezo wa kuwakamata.Kabendera alitakiwa kuyajua haya wakati anafanya uhalifu wake
Matunda ya elimu bure yanaonekana.Kama unaamua kuishambulia dola (state) siku zote hakikisha kuwa you are clean kwa kila kitu...ni lazima uwe msafi ..kwa mfano hakikisha unalipa kodi, mapato yako yawe ya ndani au ya nje ni halali...kamwe usiishambulie dola kama wewe ni mchafu kwani dola ina mkono mrefu...hii ndiyo general rule...usiwategemee mabeberu au vyombo vvya habari kupiga kelele kwa ajili yako kama wewe siyo msafi...
Torturing sio touchering
Jiwe mbona kstusaliti kwa kutuibia rambirambi‘...Ukiisaliti Rwanda hutakuwa salama na ninakujulisha hupaswi kuwa Salama . ... kwangu binafsi na kwa Wananchi wenzangu wa Rwanda .. dhambi ya kuisaliti Rwanda ni kubwa kuliko ya kuhujumu Msaliti wa Nchi.....’
Paul Kagame
Utawala huu tumeletewa na wapinzaniTz haitakiwi kuiga chochote kutoka kwa Kagame au Rwanda . Mmejaribu Ku copy na duniani pote inajulikana tunaongozwa ki dictator . Zamani tukizikemea mataifa yanayonyanyasa raia wake. Leo tunanyoshewa mikono .
Ndiyo waliofanya mchakato kweli ?!.Utawala huu tumeletewa na wapinzani
Utawala huu ulipendekezwa na wapinzaniNdiyo waliofanya mchakato kweli ?!.
Ni lini wapinzani wa nchi waliposikilizwa ?!.Utawala huu ulipendekezwa na wapinzani
Mwenzenu anateketea mnatoa majibu mepesi,until proven guilty wakati mguu unaoza!Bado hajakutwa na hatia, he is still a suspect. Ni sawa na wengi wetu tunavyoamini Jiwe na Zero wanahusika na shambulio la Lissu ila hatuna uwezo wa kuwakamata.
Innocent until proven guilty, labda kama hauna hata basics ya vitu vidogo kama hivyo.
Ni mwenzangu kwa kuwa ni Mtanzania mwenzangu kwahivyo nawe ni mwanzako pia unless kama wewe ni ile timu iliyohusika kumbambika makesi au ulushiriki katika kumdhuru mpaka amekuwa katika hali ile, hapa tunaongelea utu na inajulikana kuwa amakuwa tu framed kwa amri kutoka 'juu' ili kumkomoa kwa sababu ya kuwa anaripoti bila ya uoga wala unafiki mambo yanayoihusu nchi yetu.Mwenzenu anateketea mnatoa majibu mepesi,until proven guilty wakati mguu unaoza!
Huyu jamaa alifanya nini ?Torturing sio touchering
Yupi tena miss ?Huyu jamaa alifanya nini ?
Na hili halipaswi Ku generalize kuwa ni serikali, who is serikali? Hapa kwenye mambo mabaya tuwe tunamtafuta mtu personally aliye jihusisha na mateso au kifo cha mtu badala ya kusema serikali.Serikali inataka afe tu ndowatafurahi.
Kamamtu anaumwa si aruhusiwe akapatiwe matibabu stahiki, then akipona aendelee na mashtaka?
Nadhani anajuta sana,Serikali za kiafrika si za kuchezea chezea
Mkuu ni aibu sana kushabikia mateso ya binadamu pasipo hukumu halali. Kwa watawala wa kiafrica na mashabiki wao kuhukumu bila misingi ya sheria ni furaha tele kwao pasipokujua kesho ni ya nani. Nakupongeza sana na kwa dhati.Alikua anajua kabisa kupokea miamala kwa siri ni jinai,akibainika atapata tabu sana,na hicho ndicho kinamkuta,ha.na wa kumlaumu
Walikua wakimtumia akina.zitto wamemuacha wapo bize na.Tundu
Nakumbuka siku za kwanza.kwanza zitto alikua hakosi mahakamani
Huyo atatoka na ulemavu tu huko
Ila wakati anapokea miamala kwa siri kuivuruga nchi ni sawa?sawa not guilty until proven by the court!!Mkuu ni aibu sana kushabikia mateso ya binadamu pasipo hukumu halali. Kwa watawala wa kiafrica na mashabiki wao kuhukumu bila misingi ya sheria ni furaha tele kwao pasipokujua kesho ni ya nani. Nakupongeza sana na kwa dhati.