King_mwanamalundi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2019
- 318
- 468
Kama ndivyo kwann yuko mahakamani kama mtuhumiwa?ukiwa mke wa "Kaisari" hutakiwa hata kutuhumiwa
Kama ndivyo kwann yuko mahakamani kama mtuhumiwa?ukiwa mke wa "Kaisari" hutakiwa hata kutuhumiwa
Kagame anatuhusu nini sisi waTanganyika ?!. Je Kagame ataishi milele ?!.‘...Ukiisaliti Rwanda hutakuwa salama na ninakujulisha hupaswi kuwa Salama . ... kwangu binafsi na kwa Wananchi wenzangu wa Rwanda .. dhambi ya kuisaliti Rwanda ni kubwa kuliko ya kuhujumu Msaliti wa Nchi.....’
Paul Kagame
Mambo mengine watu wanajisahau sana wakila kuku mtaani basi ni dharau na mitusi kwa wengine. Ona sasa hali hii mpk achomoke huko atakua kakoma.Kabendera alitakiwa kuyajua haya wakati anafanya uhalifu wake
He is innocent until he is proved guiltyKabendera alitakiwa kuyajua haya wakati anafanya uhalifu wake
Siyo mchezo. Ni gharama rahisi kama ni kummaliza.Najiuliza kwanini siku zote wameshindwa kumpeleka hospitali mpaka jana, au kwasababu walijua leo ni siku ya Mahakama!
Wanacheza na afya za watu hawa.
Unamuhukumu hata kabla ya makosa yake kuhitimishwa?Mambo mengine watu wanajisahau sana wakila kuku mtaani basi ni dharau na mitusi kwa wengine. Ona sasa hali hii mpk achomoke huko atakua kakoma.
Kagame anatuhusu nini sisi waTanganyika ?!. Je Kagame ataishi milele ?!.
Kabendera alitakiwa kuyajua haya wakati anafanya uhalifu wake
Serikali inataka afe tu ndowatafurahi.
Kamamtu anaumwa si aruhusiwe akapatiwe matibabu stahiki, then akipona aendelee na mashtaka?
Mi nimhukumu tena kivipi,maumivu hayo na kero zote asingepata angetuliza mdomo.Unamuhukumu hata kabla ya makosa yake kuhitimishwa?
Tz haitakiwi kuiga chochote kutoka kwa Kagame au Rwanda . Mmejaribu Ku copy na duniani pote inajulikana tunaongozwa ki dictator . Zamani tukizikemea mataifa yanayonyanyasa raia wake. Leo tunanyoshewa mikono .Mmesahau mlipokuwa upande wake alipokuwa anakataa ushauri wa Jk kuzungumza na Wapinzani wake badala ya kuwagonga risasi?
Uarifu gani mkuu? Au ni nani kamuhukumu?Kabendera alitakiwa kuyajua haya wakati anafanya uhalifu wake
Jela ni mbaya sana
Kwani Chadema nao walishawahi kufanya Genocide Tz mpk Ccm ishindwe kukaa nao chini?Mmesahau mlipokuwa upande wake alipokuwa anakataa ushauri wa Jk kuzungumza na Wapinzani wake badala ya kuwagonga risasi?
halafu unalalamika Magufuli ana roho mbaya, kumbe wewe una roho mbaya zaidi ya shetaniUnions mtu anakutengenezea/anakutungia mazingira ya kwenda jela ukipata Mwanya mzuri mtangulize yeye makao ya milele akapumzike.
Kwani Chadema nao walishawahi kufanya Genocide Tz mpk Ccm ishindwe kukaa nao chini?