watanzania wote tumezoezwa kutofuata sheria.Sheria ikifuatwa kidogo tu tunaliawewe na nani mlizoezwa?
watanzania wote tumezoezwa kutofuata sheria.Sheria ikifuatwa kidogo tu tunaliawewe na nani mlizoezwa?
Maskini hamjifichi, mkiongea tu hua mnajulikana, wivuwivu wa kijingaSafi, kuna kipindi tunatakiwa kuchukua hatua dhidi ya mambo fulani hivi. No one is above the line
sheria inasemaje kuhusu mtu aliyetafuta pesa zake mwenyewe na kuzijaza chumbani kisha akajifungia na kuanza kuzitimua?watanzania wote tumezoezwa kutofuata sheria.Sheria ikifuatwa kidogo tu tunalia
Samahani mkuu...ni sawa lkn hawajaweka pingamizi.. ila kwa mtu Taasisi kupiga pesa kwa kutumia akili za watu wengine hii si sahihi na ni wizi maana ilitakiwa kama serikali inataka kukusanya pesa iwataarifu YOUTUBE TWITER INSTA FB nk kuwa wanataka kukusanya mapato ili kuwe na makubaliano na si kienyeji hivi. hii ni sawa na BASHITE kuwalazimisha walimu watumie kupanda madaladala ya watu binafsi kupanda bure wakati mwenye gari anatumia gharama kubwa.
CHANNEL ni MAIN WEB ambapo unaweza ndani yake kukuta unaweza kufungua account yako.Samahani mkuu...
Naweza kujua utofauti kati ya YouTube Channel na YouTube Akaunti
Atakua ametenda kosa la jinaisheria inasemaje kuhusu mtu aliyetafuta pesa zake mwenyewe na kuzijaza chumbani kisha akajifungia na kuanza kuzitimua?
HakikaAsante sana mkuu kwa darasa zuri
Kwa maoni yangu sheria imempa huyo Mkurugenzi wa Mashtaka nguvu kubwa sana ambayo ikiwa abused inageuka kua injustice to people. Ni bora nguvu kubwa apewe Judge au Hakimu
Tatizo walifikiri hayatawakutaNinefurahi kuona nao wameonja joto ya jiwe. Moja ya kundi puuzi linalokuwa kimya kipindi cha uonevu ni wasanii. Uliza wakati tunakataa cybercrime hawa walisema nini
Last week nilimuona pale kisutu, hukumu yake imetoka??
mbona kesi yao rahisi tu, warushe clip zinazoonyesha wakiwa wamevaa sare za ccm huku wanamponda mbowe na chadema hata kwa habari za uongo. dpp atasema hana nia ya kuendelea na kesi yao tena
Naskia wamehukumiwa kulipa fine au jelaLast week nilimuona pale kisutu, hukumu yake imetoka??
Sawa mkuu.Naskia wamehukumiwa kulipa fine au jela
Hao walivyokuwa na kesi inaelekea walikuwa wanachukulia simple......
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app