Arnold254
JF-Expert Member
- Apr 13, 2018
- 4,083
- 2,685
My friend wacha kujifunga.Unashabikia bila evidence... Mmeshindwa kuweka cha maana zaidi ya airport bubu...sa sijui unafurahia nn hapo...mbona mkiwekewa picha na video mnahamia kwenye mada ya airport[emoji3]
Ati tumeshindwa kuweka Cha maana Zaidi ya airport na nyinyi hata barabara hamuezi Leta hapa. Tuletee barabara we compare Kama unajiamini[emoji23][emoji23][emoji23]