Kiss fm vs choice fm

Kiss fm vs choice fm

MTAZAMO

Platinum Member
Joined
Feb 8, 2011
Posts
20,035
Reaction score
35,066
Wakuu kwasasa hapa Bongo kama unataka kusikiliza good music especially R&B and Hip hop hizi ndio best station!

Unadhani ktk hizi station mbili which is the best station kwa good music?
 
Kiss is the Best labda waanze kumbwela baada mmiliki wake kusahau kuwa a company is separate legal entity na kutumia pesa za project kwenye siasa. Juzi tu kulikuwa na uzi ukieleza Jinsi hao jamaa wnavyolipwa kwa mafungu salary zao!

hata hivyo stil naikubali Kiss wanajitahidi kwenye ngoma ingawa kwenye Jingles na Segments kwenye vipindi vyao hazina mvuto sana! Aina ya music wapigao ndicho kinachowabeba otherwise they are not creative at all!
 
Choice fm hawapigi bongo fleva lakini Kiss fm wanapiga! labda inaweza kuwatofautisha pia?
 
ebana eeh ngoja kidogo ntoke nje ya topic.
Kuna Miaka Magic FM walikuwa wanajiunga na Big Snoop Dogg Redio.
Wallah sijapata kusikia teena na nina uhakika miaka 100 miaka buku hakuna redio hapa Bongo itakayopiga Hiphop kama ile.

Watangazaji wake walikuwa ni magang wenzie Snoop, siku nyingine mtangazaji anaweza kuwa mamen X to the Zz Xzibit au siku nyingine alikuwa hayati Nate Dogg, au siku nyingine anaweza kuwa Warren G, au siku nyingine Mel Man, au siku nyingine Kurupt na Daz Dilinger...
dah kuna siku waren G alizipangilia ngoma kali kama regulate, gheto boy ya Dr Dre, rising to the top, my life ya cool G Rap, Phone tap, get you walk on, not like it was, the messege ya Nas, breker breker ya GZA....yaani almanusra chozi linimwagike...
 
ebana eeh ngoja kidogo ntoke nje ya topic.
Kuna Miaka Magic FM walikuwa wanajiunga na Big Snoop Dogg Redio.
Wallah sijapata kusikia teena na nina uhakika miaka 100 miaka buku hakuna redio hapa Bongo itakayopiga Hiphop kama ile.

Watangazaji wake walikuwa ni magang wenzie Snoop, siku nyingine mtangazaji anaweza kuwa mamen X to the Zz Xzibit au siku nyingine alikuwa hayati Nate Dogg, au siku nyingine anaweza kuwa Warren G, au siku nyingine Mel Man, au siku nyingine Kurupt na Daz Dilinger...
dah kuna siku waren G alizipangilia ngoma kali kama regulate, gheto boy ya Dr Dre, rising to the top, my life ya cool G Rap, Phone tap, get you walk on, not like it was, the messege ya Nas, breker breker ya GZA....yaani almanusra chozi linimwagike...

:clap2: gang kuna album za baadhi ya wana hiphop uwezi kubonyeza next.. nikisikiliza album za Nas ni za ukweli sana.. so far ninasikiliza hii album yake mpya "Life is good" ni nzuri sana..

:focus: sijasikiliza Choice Fm kwa kipindi kirefu kama nilivyosikiliza Kiss Fm kwaiyo kura yangu nawapa Kiss Fm "for today best musiq"
 
Back
Top Bottom