Wazima humu naomba kupata taarifa zenye uhakika kuhusu kisopwa huko Dar ama iko pwani sina uhakika sana,nasikia wanajeshi wanavunja na kubomoa nyumba za watu watoke kwenye maeneo yao ,ambayo kwa tetesi tu ,,Mh Kikwete aliwagawia wananchi ili wayaendeleze! Je kuna ukweli wa hizi taarifa? Maana nna kaeneo huko niliweka vimiti vya matunda.
Nawasilisha.
Nawasilisha.