BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,766
- 23,220
umenifurahisha kweli? unapata faida gani baada ya hapo?
jiulize ungekuwa umetulizana ungekuwa wapi?
watu wengine vinaniliu vyao vingekuwa penseli, vishakwisha zaaaaaaaaamaaani,
umenifurahisha kweli? unapata faida gani baada ya hapo?
jiulize ungekuwa umetulizana ungekuwa wapi?
Ni utoto unakusumbua, ukikua utaacha.
Tafuta hela zako mwenyewe, acha kutegemea hela za mabinti