Kismati

Kismati

WA KISHUA

JF-Expert Member
Joined
Dec 11, 2012
Posts
365
Reaction score
130
Sio siri Tangu nianze kujihusisha na mambo haya ya Mapenzi najipongeza kwa kuwa na Kismati kweli, Yaani kila ninapokanyaga Demu WA KISHUA mwenzangu au Mfanyakazi Wa Benki au Mfanyabiashara, lakni tatizo langu hawa wanawake nikishakaa nao muda mrefu huwa nawachoka na kuwatema kama Dagaa vle huku nikiwaachia majeraha Makubwa sana ya Mapenzi, Ivi inatoka na nini Kuwakinai wanawake? ni mimi au na nyie wenzangu pia?
 
umenifurahisha kweli? unapata faida gani baada ya hapo?
jiulize ungekuwa umetulizana ungekuwa wapi?
 
Nadhani una tatizo la kisaikologia na umalaya uliokisili,inabidi upate wataalamu wa ushauri nasaha na pia upate maombezi ya muumba wa mbingu na nchi!Hivi umalaya wako ni wa kurisi au ni wewe tu katika ukoo wenu ndiyo una tatizo hili?
 
kumbe watu wanaringia maradi na laana siku hizi?wewe ni mgonjwa tena sio kidogo tafuta tiba
 
Ni utoto unakusumbua, ukikua utaacha.
Tafuta hela zako mwenyewe, acha kutegemea hela za mabinti
Sio siri Tangu nianze kujihusisha na mambo haya ya Mapenzi najipongeza kwa kuwa na Kismati kweli, Yaani kila ninapokanyaga Demu WA KISHUA mwenzangu au Mfanyakazi Wa Benki au Mfanyabiashara, lakni tatizo langu hawa wanawake nikishakaa nao muda mrefu huwa nawachoka na kuwatema kama Dagaa vle huku nikiwaachia majeraha Makubwa sana ya Mapenzi, Ivi inatoka na nini Kuwakinai wanawake? ni mimi au na nyie wenzangu pia?
 
ucpende kukurupuka ww @BUJUBUJI , c o kama nategemea hela za Mademu ila 2nakuwa 2natumia hela zetu wote , yani kama yeye nimemtoa out leo, na yeye pia anaweza akanitoa out hapo equlibrium inabalance. Soma vzr Thread yangu
 
duh! Naona wadau mmenibadilikia, sikuwa na nia mbaya lakini ni kuomba ushauri kwa kupotoka kwangu, yaani natafuta Mke nioe na nitulie nae kabisa baada ya kutangata. Natumaini mmenipata Wakubwa Zangu, kama kuna Dada yeyote anayehitaji 2we wapenzi anaweza akaniPM. Nawasilisha

 
huu ujinga wako peleka fb kule umejiunga leo na swagga za mapenzi hapa lol
join date 11th December 2012
 
duh! Naona wadau mmenibadilikia, sikuwa na nia mbaya lakini ni kuomba ushauri kwa kupotoka kwangu, yaani natafuta Mke nioe na nitulie nae kabisa baada ya kutangata. Natumaini mmenipata Wakubwa Zangu, kama kuna Dada yeyote anayehitaji 2we wapenzi anaweza akaniPM. Nawasilisha


Unajiona mjaaaaaaaaaaanja au siyo? Iko siku yako nawe utamiminwa kama zege! Muosha Huoshwa, Mtenda hutendwa. Na nafikiri siku si nyingi zamu yako itafika.
 
We, ujielewi bwana kadogoo, we c ume post kule kawimbo eti mkutane badae, huku tena unasema unatafuta mke? SIKIA IZI PUMBA PELEKA chit-chat au fb
duh! Naona wadau mmenibadilikia, sikuwa na nia mbaya lakini ni kuomba ushauri kwa kupotoka kwangu, yaani natafuta Mke nioe na nitulie nae kabisa baada ya kutangata. Natumaini mmenipata Wakubwa Zangu, kama kuna Dada yeyote anayehitaji 2we wapenzi anaweza akaniPM. Nawasilisha

 
Sikiliza dogo dawa ni kuchagua mmoja na kutulia nae ,kama unaona kuna mapungufu mengine ni yakuvumilia tu,hakuna mtu aliyekamilika kila kitu yawezekana kuna watu wanaona na wewe unamapungufu hawakwambii tu. Cha msingi ni uvumilivu unaotakiwa mpaka mnaingia kwenye maamuzi ya kufunga ndoa , tulia dogo utakuja pata maradhi.
 
Nadhani una tatizo la kisaikologia na umalaya uliokisili,inabidi upate wataalamu wa ushauri nasaha na pia upate maombezi ya muumba wa mbingu na nchi!Hivi umalaya wako ni wa kurisi au ni wewe tu katika ukoo wenu ndiyo una tatizo hili?

Aisee kuna watu huwa wanatatizo la kutamka herufi au maneno yenye S kwa kusema "th" ila wewe kiboko!upo kinyume chake
 
.... Ivi inatoka na nini Kuwakinai wanawake? ni mimi au na nyie wenzangu pia?


Nafikiri inatokana na wewe mwenyewe kutokujua nini unachokitaka toka kwa mwanamke. Kama ungejua exactly nini unataka na pia ukawa na msimamo kwenye maamuzi yako usingeweza kukinai hata kidogo! Tafakari mwenendo wako na interest zako!
 
kuna Dada yeyote anayehitaji 2we wapenzi anaweza akaniPM. Nawasilisha

kazi kwelikweli, unavyoonyesha tu una undugu na mzabzab utafutwe ili iweje sasa
 
Aisee kuna watu huwa wanatatizo la kutamka herufi au maneno yenye S kwa kusema "th" ila wewe kiboko!upo kinyume chake
Mkuu habari za BAKITA?Kumbuka kuna mtu anaomba ushauri,ushauri wako ni nini kwenye hili?
 
duh! Naona wadau mmenibadilikia, sikuwa na nia mbaya lakini ni kuomba ushauri kwa kupotoka kwangu, yaani natafuta Mke nioe na nitulie nae kabisa baada ya kutangata. Natumaini mmenipata Wakubwa Zangu, kama kuna Dada yeyote anayehitaji 2we wapenzi anaweza akaniPM. Nawasilisha

Very very wrong target, Jaribu FB, Jicho la mvulana liko fasta.......,Univrsal Tz Jokes, etc.....huku umeingia choo cha kike
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom