Ndugu wana JF. Naomba mnijuze kuhusu kisiwa cha MAFIA kilichopo Tanzania. Je jina hilo (MAFIA) limetokana na kile kikundi cha kigaidi kilichopo nchini Italy? Maana nijuavyo mimi MAFIA ni kikundi cha kimataifa cha wahalifu kilichoasisiwa nchini ITALY kinachofanya maovu mbalimbali duniani yaani it is an organized international body of criminals originating in Sicily (ITALY) and having a compex and ruthless behavioral code.Je magaidi hao hujificha kwa siri kule kisiwani? Je ni nani aliyekibatiza kisiwa cha MAFIA kilichoko Tanzania jina hilo, lini na kwa sababu gani? . Wataalam wa HISTORIA naomba mnijuze tafadhali.
Bandiko lako limekaa kiunafiki nafiki hivi ...
umetujazia server bila sababu ya msingi