Kisiasa, lawama zote ni kwa Kikwete kwa kuvuruga uteuzi wa mgombea Urais, lakini TUJISAHIHISHE

Kisiasa, lawama zote ni kwa Kikwete kwa kuvuruga uteuzi wa mgombea Urais, lakini TUJISAHIHISHE

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
17,547
Reaction score
28,493
Sintofahamu tunayoiona sasa ndani ya CCM, imetengenezwa na rais mstaafu Jakaya Kikwete.

Wanachama wa CCM tunalaumu kwa vile utaratibu wa kikatiba haukufuatwa.

Suala la kumteua mgombea wa kiti cha urais NJE ya utaratibu na katiba ya chama lilikuwa kosa kubwa.
Na hili limemjengea Mwenyekiti wa CCM aliyepo madarakani, Mama Samia, mazingira magumu sana, ambayo hayakutarajiwa.

Hata hivyo CCM ina kawaida ya kujirekebisha, endapo imefanya makosa.

Mimi mwanachama wa siku nyingi sana wa CCM.

TANU, ilifanya makosa katika msimamo wake miaka ya 1974 au 75 kwa MUSOMA RESOLUTION.
Resolution hii ilisema vijana waliomaliza Form 6 lazima waende JKT kwa mwaka mmoja.
Matokeo hasi kiuchumi na kielimu yalilazimisha CCM ilivyoundwa, kujisahihisha.

Mwaka 1977, CCM ilikuja na OPERATION TUJUSAHIHISHE, ili kukubali kuwa kulikuwa na makosa, na kusahihisha makosa.

Siyo siri pamoja na makosa, Kikwete ana ushawishi katika CCM.

Wito wangu ni yeye mwenyewe Kikwete, amshauri mama hadharani namna ya kusahihisha makosa katika uteuzi ndani ya CCM, nafasi ya Urais.

KATIBA IFUATWE.
 
IMG_2181.jpeg
 
Akili za kujirekebisha msingi wake iwe ni jinsi ya kuwapata wagombea kwa mfumo wa haki bini haki kumbe hoja yangu ni ya msingi ya:
Bila mabadiliko ya mifumo wa uchaguzi Tanzania 2025, hakuna uchaguzi 2025

No electroral reforms procedures 2025, No general elections, 2025

NERNE, 2025
 
Akili za kujirekebisha kumbe msingi wake ni jinsi ya kuwapata wagombea kumbe hoja yangu ni ya msingi ya:
Bila mabadiliko ya mifumo wa uchaguzi Tanzania 2025, hakuna uchaguzi 2925

No electroral reforms procedures 2025, No general elections, 2025
Mfumo wa uchaguzi CCM hauna matatizo.
Wahuni waliopinda wameupindisha.
 
Wajinga tu hawa wwanajifanya hili taifa makosa yameanza jana ni tupo mwaka wa 60 huu atoke mbali hujo hata yy angekua rais angefabya zaidi ya hv
Bora iwe hivi hivi ili mafuvu ya watanzania yarudishiwe akili

Tunaishi kwenye jamii ya kanyanga twende jamii ambayo unaweza kuisafisha ubongo ikafikiri unavyotaka wewe

Jamii ambayo wengi wao hawawezi kuchakata fikra chanya na hasi
 
Sintofahamu tunayoiona sasa ndani ya CCM, imetengenezwa na rais mstaafu Jakaya Kikwete.

Wanachama wa CCM tunalaumu kwa vile utaratibu wa kikatiba haukufuatwa.

Suala la kumteua mgombea wa kiti cha urais NJE ya utaratibu na katiba ya chama lilikuwa kosa kubwa.
Na hili limemjengea Mwenyekiti wa CCM aliuepo madarakani mazingira magumu sana, ambayo hayakutarajiwa.

Hata hivyo CCM ina kawaida ya kujirekebisha, endapo imefanya makosa.

Mimi mwanachama wa siku nyingi sana wa CCM.
TANU, ilifanya makosa katika msimamo wake miaka ya 1974 au 75 kwa MUSOMA RESOLUTION.
Resolution hii ilisema vijana waliimaliza Firm 6 lazima waende JKT kwa mwaka mmoja.
Matokeo hasi kiuchumi na kielimu yalilazimisha CCM ilivyoundwa kujisahihisha.
Mwaka 1977, CCM ilikuja na OPERATION TUJUSAHIHISHE, ili kukubali kuwa kulikuwa na makosa, na kusshihisha makosa.

Siyo siri pamoja na makoa, Kikwete ana ushawshi katika CCM.
Wito wangu ni yeye mwenyewe Kikwete,amshauri mama hadharani namna ya kusahihisha makosa katika uteuzi ndani ya CCM, nafasi ya Ursis.
KATIBA IFUATWE.
Sio tu kuvuruga. Hivi alikaa pale mbele kabisa kama nani? Tulishazoea kuona wastaafu wakikaa nyuma au sehemu maalum. Aliwekwa mbele ili asawazishe mambo na haikuwa bahati mbaya.
 
Sintofahamu tunayoiona sasa ndani ya CCM, imetengenezwa na rais mstaafu Jakaya Kikwete.

Wanachama wa CCM tunalaumu kwa vile utaratibu wa kikatiba haukufuatwa.

Suala la kumteua mgombea wa kiti cha urais NJE ya utaratibu na katiba ya chama lilikuwa kosa kubwa.
Na hili limemjengea Mwenyekiti wa CCM aliyepo madarakani. Mama Samia, mazingira magumu sana, ambayo hayakutarajiwa.

Hata hivyo CCM ina kawaida ya kujirekebisha, endapo imefanya makosa.

Mimi mwanachama wa siku nyingi sana wa CCM.
TANU, ilifanya makosa katika msimamo wake miaka ya 1974 au 75 kwa MUSOMA RESOLUTION.
Resolution hii ilisema vijana waliomaliza Form 6 lazima waende JKT kwa mwaka mmoja.
Matokeo hasi kiuchumi na kielimu yalilazimisha CCM ilivyoundwa, kujisahihisha.

Mwaka 1977, CCM ilikuja na OPERATION TUJUSAHIHISHE, ili kukubali kuwa kulikuwa na makosa, na kusahihisha makosa.

Siyo siri pamoja na makosa, Kikwete ana ushawshi katika CCM.
Wito wangu ni yeye mwenyewe Kikwete,amshauri mama hadharani namna ya kusahihisha makosa katika uteuzi ndani ya CCM, nafasi ya Urais.
KATIBA IFUATWE.
Duu na wewe umepinga?
 
Back
Top Bottom