Kishindo: Freeman Mbowe kuunguruma Hai

Kishindo: Freeman Mbowe kuunguruma Hai

View attachment 1370832

Unaambiwa Usiku wa kuamkia siku ya deni hauchelewi kucha , ile siku ya wanafiki na wala rushwa kuumbuka , siku ambayo imeahirishwa mara kadhaa na watu waoga kwa sababu za kinafiki , hatimaye imefika rasmi , hakutakuwa na cha Mswalie Mtume wala Yesuu na Maria !

Wote Mnakaribishwa .

Aangalie tu maneno ya kuongea maana yule kijana wa kijani hapo hai anaweza kujitafutia credit kwa kumsweka ndani.
 
Chsma kimejenga nini wakati hakina office , wabunge wanahama, madiwani wanahama,wanachama wanahama, chama kinajenga mbinguni????
Utakuwa mfaidika
Kujenga chama siyo kujenga majengo tuu mkuu bali ni pamoja na uendeshaji wa shughuli za kila siku za kichama kama vile ziara,mikutano mbali²,ulinzi wa viongozi, matibabu(na hapa kuna mfano hai,T.A.Lissu)
Wabunge kuhama kama unavyosema ndo siasa ilivyo, ila waliobaki pia si unawaona wanaendelea na mapambano?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asisahau kuzungumzia michango wanayochangishwa wabunge, seating allowance zinazokatwa kwa wabunge, makato ya mishahara, rudhuku ya serikari,pamoja na kutoa ufafanuzi wa chama kutokuwa na office zachama pamoja na mishahara ya viongozi wasio wanachama.

Lakkni pia atoe ufafanuzi mgogoro wa mwanamke anae mpendekeza kuwa mwenyekiti wa kanda ya mwanza ambae wanachama hawamtaki je! Ana masrahi gani nae?.
Kama atabaki na kumzungumzia sabaya na tume huru mumwambie mapema nisawa ila aanze na mambo hayo kwanza vinginevyo hatutamuelewa .
Watu wanaotafuta mkate CDM wakikosa ndio huwa na tabia kama zako, huwa mna kelele.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Erythrocyte,
Sijui ni akili gani ambayo sina ! Ila nikweli sina akili kama ya nyumbu mkuu!!!

Wewe mwenye akili nijibu haya maswali kwa kumsaidia Mbowe.
1.Wabunge zaidi ya 30 wa chadema wanakatwa seating allowance ya tsh. 260000 kila mbunge kwa siku.
2.Wanakatwa tsh. 4.7ml. Kila mwezi.
3.Rudhuku ya chama 270ml. Kila mwezi
4.Fedha za wahisani usd 980000 kila baada ya miezi mitatu
5.Michango ya makamanda na ununuzi wa magwanda, tshirts nk.
5.Michango ya posho za madiwani kwa madiwani waliopo nchi nzima.

Muda huo ujue chama hakina office zake nchi nzima! Hata zilizokodiwa zimekodiwa kwa bei kubwa ili kupata cha juu.

Chama hakiwalipi mishahara viongozi wa mikoa, wilaya, na hata viongozi wa jumuia mda huo mwenyekiti anakodi ukumbi wa siku moja kwa usd 28900 kwa siku moja na kukodi ndege kwa 56ml. tsh kwenda Mwanza.

Kwahayo Machache tupeni majibu wenye akili! Sio mbwembwe za tume huru au Sabaya na mabango ya matangazo kemkem ! Tupeni hoja za msingi kuhusu uchaguzi wa baadhi ya kanda kukwama ! Taarifa zilizopo mkanushe au mje na maelezo.
Wewe ndio unawasaidia kulalamika wanaokatwa, ni msemaji wao?

Kama unaamini Mbowe anawaibia kwa nini usikusanye ushahidi upeleke mahakamani?

Wacha kelele zako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
View attachment 1370832

Unaambiwa Usiku wa kuamkia siku ya deni hauchelewi kucha , ile siku ya wanafiki na wala rushwa kuumbuka , siku ambayo imeahirishwa mara kadhaa na watu waoga kwa sababu za kinafiki , hatimaye imefika rasmi , hakutakuwa na cha Mswalie Mtume wala Yesuu na Maria !

Wote Mnakaribishwa .
hujaeleweka inamaana ndiyo anaenda kutaja wala rushwa? anawajua na ushahidi anao? kwanini asiende polisi kuwashitaki badara yake anaenda kuwasuta mkutanoni hizo ni tabia za kike kukodi mdundiko kwenda kumsuta mtu kamchukulia mwenzie bwana hivi hana sera za kuenda kueleza wapiga kura wake maana kunahatihati ya kuukosa na ubunge wenyewe wa hai
 
Mbunge kuzungumza na wananchi wa Jimbo lake siku hizi ni Habari?

Hizi ni dalili za mbunge huyo kupoteza legitimacy wa kuendelea kuwa mbunge...
haswa maana anaona nayo ni ishu kubwa sana mbona hakuna jipya hapo
 
Asisahau kuzungumzia michango wanayochangishwa wabunge, seating allowance zinazokatwa kwa wabunge, makato ya mishahara, rudhuku ya serikari,pamoja na kutoa ufafanuzi wa chama kutokuwa na office zachama pamoja na mishahara ya viongozi wasio wanachama.

Lakkni pia atoe ufafanuzi mgogoro wa mwanamke anae mpendekeza kuwa mwenyekiti wa kanda ya mwanza ambae wanachama hawamtaki je! Ana masrahi gani nae?.
Kama atabaki na kumzungumzia sabaya na tume huru mumwambie mapema nisawa ila aanze na mambo hayo kwanza vinginevyo hatutamuelewa .
nim mambo ambayo hawezi kuyazungumzia maana pesa anapiga yeye sasa atawaambia nini
 
Mbunge kuzungumza na wananchi wa Jimbo lake siku hizi ni Habari?

Hizi ni dalili za mbunge huyo kupoteza legitimacy wa kuendelea kuwa mbunge...
KAMA SIYO HABARI KWA NINI HUWA MNAWAZUIA KUFANYA MIKUTANO?
 
Back
Top Bottom