Kishindo: Freeman Mbowe kuunguruma Hai

Kishindo: Freeman Mbowe kuunguruma Hai

F.H. Mbowe ataongea vitu vya msingi tupu.
Acha kina Bashiru waendelee kucheza kombolela

Sent using Jamii Forums mobile app
Asisahau kuzungumzia michango wanayochangishwa wabunge, seating allowance zinazokatwa kwa wabunge, makato ya mishahara, rudhuku ya serikari,pamoja na kutoa ufafanuzi wa chama kutokuwa na office zachama pamoja na mishahara ya viongozi wasio wanachama.

Lakkni pia atoe ufafanuzi mgogoro wa mwanamke anae mpendekeza kuwa mwenyekiti wa kanda ya mwanza ambae wanachama hawamtaki je! Ana masrahi gani nae?.
Kama atabaki na kumzungumzia sabaya na tume huru mumwambie mapema nisawa ila aanze na mambo hayo kwanza vinginevyo hatutamuelewa .
 
Ukisikia nsemo wa mavi debe diyo huu...Lumbumba nzima inatia huruma sana.. haja kubwa hawaendi, ndogo hawaendi ila wamebanwa saana ...ni wa kuhurumia.
 
View attachment 1370832

Unaambiwa Usiku wa kuamkia siku ya deni hauchelewi kucha , ile siku ya wanafiki na wala rushwa kuumbuka , siku ambayo imeahirishwa mara kadhaa na watu waoga kwa sababu za kinafiki , hatimaye imefika rasmi , hakutakuwa na cha Mswalie Mtume wala Yesuu na Maria !

Wote Mnakaribishwa .
No hate no fear
FB_IMG_1487930157486.jpeg


In God we Trust
 
Erythrocyte,
Sijui ni akili gani ambayo sina ! Ila nikweli sina akili kama ya nyumbu mkuu!!!

Wewe mwenye akili nijibu haya maswali kwa kumsaidia Mbowe.
1.Wabunge zaidi ya 30 wa chadema wanakatwa seating allowance ya tsh. 260000 kila mbunge kwa siku.
2.Wanakatwa tsh. 4.7ml. Kila mwezi.
3.Rudhuku ya chama 270ml. Kila mwezi
4.Fedha za wahisani usd 980000 kila baada ya miezi mitatu
5.Michango ya makamanda na ununuzi wa magwanda, tshirts nk.
5.Michango ya posho za madiwani kwa madiwani waliopo nchi nzima.

Muda huo ujue chama hakina office zake nchi nzima! Hata zilizokodiwa zimekodiwa kwa bei kubwa ili kupata cha juu.

Chama hakiwalipi mishahara viongozi wa mikoa, wilaya, na hata viongozi wa jumuia mda huo mwenyekiti anakodi ukumbi wa siku moja kwa usd 28900 kwa siku moja na kukodi ndege kwa 56ml. tsh kwenda Mwanza.

Kwahayo Machache tupeni majibu wenye akili! Sio mbwembwe za tume huru au Sabaya na mabango ya matangazo kemkem ! Tupeni hoja za msingi kuhusu uchaguzi wa baadhi ya kanda kukwama ! Taarifa zilizopo mkanushe au mje na maelezo.
 
unadhani ni kwanini wabunge wa ccm wanaogopa kuitisha mikutano ya hadhara kwenye majimbo yao ?
EEeeh, hebu kwanza!

Hili nilikuwa bado halijaniingia akilini!

Eti, "---kwa nini wabunge wa ccm wanaogopa kuitisha mikutano ya hadhara kwenye majimbo yao"?

Au wanaitisha na kuifanya hiyo mikutano, lakini haitangazwi au kuwekwa hapa JF kama hii michache ya wapinzani?

Kama jibu ni hili ninalofikiria kichwani, kuna sababu gani ya wapinzani kuwa na hofu hapo Oktoba kama patakuwepo na uchaguzi huru na wa haki?
 
Asisahau kuzungumzia michango wanayochangishwa wabunge, seating allowance zinazokatwa kwa wabunge, makato ya mishahara, rudhuku ya serikari,pamoja na kutoa ufafanuzi wa chama kutokuwa na office zachama pamoja na mishahara ya viongozi wasio wanachama.

Lakkni pia atoe ufafanuzi mgogoro wa mwanamke anae mpendekeza kuwa mwenyekiti wa kanda ya mwanza ambae wanachama hawamtaki je! Ana masrahi gani nae?.
Kama atabaki na kumzungumzia sabaya na tume huru mumwambie mapema nisawa ila aanze na mambo hayo kwanza vinginevyo hatutamuelewa .
Michango wanayotoa wabunge+ wanachama ni kwa ajili ya kujenga chama, hili lipo wazi
Kuhusu huyo m/kt anayependekezwa kura zitaamua (hiki ni chama chenye demokrasia ya kuigwa)


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asije akaanza oh tutayarishe majeneza mia mbili, oh sijui tuko tayari kumwaga damu oh sijui nini. Kuropoka ropoka hovyo.
 
View attachment 1370832

Unaambiwa Usiku wa kuamkia siku ya deni hauchelewi kucha , ile siku ya wanafiki na wala rushwa kuumbuka , siku ambayo imeahirishwa mara kadhaa na watu waoga kwa sababu za kinafiki , hatimaye imefika rasmi , hakutakuwa na cha Mswalie Mtume wala Yesuu na Maria !

Wote Mnakaribishwa .
Mbowe alilikimbia Jimbo akamuachia Sabaya, sasa anarudi kufanya nini tena....
 
Michango wanayotoa wabunge+ wanachama ni kwa ajili ya kujenga chama, hili lipo wazi
Kuhusu huyo m/kt anayependekezwa kura zitaamua (hiki ni chama chenye demokrasia ya kuigwa)


Sent using Jamii Forums mobile app
Chsma kimejenga nini wakati hakina office , wabunge wanahama, madiwani wanahama,wanachama wanahama, chama kinajenga mbinguni????
Utakuwa mfaidika
 
Back
Top Bottom