Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
katika kikao kilichofanyika asubuhi ya leo na kuhusisha wabunge wa chadema mjini Dodoma kuna habari ambayo itazidi kuishutua CCM na pengine huu ukawa ndiyo mwisho wa CCM Arusha.
Tega sikio hapa hapa JF
Aliekuwa Diwani kupitia CCM Alphonce Mawazo amehamia rasmi chama cha Demokrasia na Maendeo na kumaliza tetesi za siku nyingi kuwa ange hamia chadema. kwa mara ya kwanza zilianza kuibuka kwenye uchaguzi wa meya wa mjini Arusha baada ya haki kupindishwa hali hiyo mawazo hakupendezwa nayo, hivyo kuanza harakati za kuhamia chadema wakati wakati mawazo akiahamia chadema katibu mwenezi wa wilaya ya Longido mkoa wa Arusha CCM nae kava kombat rasmi na muda huu ninapoa andika Mawazo na makamnda wengine wanaelekea mjini kahama kwenda kungana na makamanda walioko huko wakiendeleza maumivu kwa chama cha majambazi....
mengi yana kuja
====
kwa mujibu wa radio sunrise FM
Vijana wilayani Monduli wamewafanya maandamano ya kumuunga mkono alie kuwa mwenyekiti wa UVCCM James Ole Millya
Ujio wa Alphonce Mawazo
Tega sikio hapa hapa JF
==============Breking News:
Diwani wa CCM kata ya SOMBETINI-Arusha Mjini, ALFONCE MAWAZO ameng'atuka kutoka CCM na kujiunga na CHADEMA. wakati huo huo katibu mwenezi CCM wilaya ya LONGIDO ARUSHA Mr YOHANA LAIZER naye amejiunga na CHADEMA
Aliekuwa Diwani kupitia CCM Alphonce Mawazo amehamia rasmi chama cha Demokrasia na Maendeo na kumaliza tetesi za siku nyingi kuwa ange hamia chadema. kwa mara ya kwanza zilianza kuibuka kwenye uchaguzi wa meya wa mjini Arusha baada ya haki kupindishwa hali hiyo mawazo hakupendezwa nayo, hivyo kuanza harakati za kuhamia chadema wakati wakati mawazo akiahamia chadema katibu mwenezi wa wilaya ya Longido mkoa wa Arusha CCM nae kava kombat rasmi na muda huu ninapoa andika Mawazo na makamnda wengine wanaelekea mjini kahama kwenda kungana na makamanda walioko huko wakiendeleza maumivu kwa chama cha majambazi....
mengi yana kuja
====
kwa mujibu wa radio sunrise FM
Vijana wilayani Monduli wamewafanya maandamano ya kumuunga mkono alie kuwa mwenyekiti wa UVCCM James Ole Millya
Ujio wa Alphonce Mawazo
Breaking News,
Jinamizi la Viongozi wa Chama cha Mapinduzi kuhamia CHADEMA sasa limehamia Mwanza.
Diwani wa Kata ya Nyampulukano, Jimbo la Sengerema Mjini amehamia Chadema leo hii, Arusha Mambo itakatisha kwa muda matangazo yake kutoka Dodoma na kuwaletea mahojiano ya moja kwa moja na Diwani huyo kutoka Mwanza.