Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 697
Mawazo na makamda wengine kwa sasa wanaelekea Kahama mkoani shinyanga kwenda kuungana na makamda walioko huko wakiendeleza maumivu kwa chama cha majambazi (CCM).
maombi yanazidi kujibu
Unanikumbusha ile nyimbo ya Tshimanga Asosa, "Mambo Bado" yaani ni raha kwanda mbele. Sasa nape aje na kauli nyingine ili wazidi kumkimbia.