Kishimba azidi kutamba,lembeli azidi kunywea

Kishimba azidi kutamba,lembeli azidi kunywea

Acha uji ww mm naishi hapo shimba cjui k.shmba hata miktnk yke mpaka asombe wtu lembeli ndo chaguo ww standard7 peleka kulees
 
Mgombea ubunge jimbo la kahama mjini Mh.Jumanne Nkandi Kishimba...amesema kwamba atajenga kilometre ishirini za rami mjini humo...akihutubia wakazi wa kata nyahanga,mheshimiwa Nkandi alisema..tatizo la mji wa kahama ni miundombinu ya barabara,msongamano mkubwa ktk hospitali ya manispaa ya kahama....yeye akichaguliwa na wanakahama atatatua kero hizo ikiwemo na kuunganisha umeme wa uhakika ktk mgodi wa Buzwagi.....Kishimba amekuwa mdau mkubwa ktk kuchochea maendeleo ktk wilaya yake ya kahama ikiwemo kujenga shule na kuikabidhi serkali....pia sehemu ambazo wananchi waliitaji mchango wake bwana kishimba hakuwaacha nyuma....Hivyo kwa jinsi upepo ulivyo kahama Lembeli ana hali ngumu sana ya kisiasa...lembeli amekuwa akikutana na maswali mbalimbali kwamba"tangu awe mbunge kahama..amefanya nini kahama ili wanakahama wamkumbuke?"

= lami
 
Kwa uzoefu wng mdogo km 1 ya lami inaweza kugharimu 900Mil hadi 1Bil.Ss hizo pesa yy kama mbunge atatoa wp???? Tuwe makini jmn.

kishimba hiyo ni pesa ya mboga tu, anamiliki migodi zimbabwe akishirikiana na mugabe, mashamba ya walowezi aliyanunua yeye.
 
Mgombea ubunge jimbo la kahama mjini Mh.Jumanne Nkandi Kishimba...amesema kwamba atajenga kilometre ishirini za rami mjini humo...akihutubia wakazi wa kata nyahanga,mheshimiwa Nkandi alisema..tatizo la mji wa kahama ni miundombinu ya barabara,msongamano mkubwa ktk hospitali ya manispaa ya kahama....yeye akichaguliwa na wanakahama atatatua kero hizo ikiwemo na kuunganisha umeme wa uhakika ktk mgodi wa Buzwagi.....Kishimba amekuwa mdau mkubwa ktk kuchochea maendeleo ktk wilaya yake ya kahama ikiwemo kujenga shule na kuikabidhi serkali....pia sehemu ambazo wananchi waliitaji mchango wake bwana kishimba hakuwaacha nyuma....Hivyo kwa jinsi upepo ulivyo kahama Lembeli ana hali ngumu sana ya kisiasa...lembeli amekuwa akikutana na maswali mbalimbali kwamba"tangu awe mbunge kahama..amefanya nini kahama ili wanakahama wamkumbuke?"

Kishimba alimalizaje tatizo LA kuingiza meli /boat bila kufuata taratibu?
 
Lembeli wa enzi za Richmond sio huyu wa leo anaekaa na kina Lowassa, rostam na karamagi meza moja kama marafiki wapanga mbinu za kumshinda magufuli
 
kishimba hiyo ni pesa ya mboga tu, anamiliki migodi zimbabwe akishirikiana na mugabe, mashamba ya walowezi aliyanunua yeye.

Sasa si awaachie wengine huo ubunge aendelee na biashara zake
 
tehteh...
Join Date : 30th September 2015
 
Mgombea ubunge jimbo la kahama mjini Mh.Jumanne Nkandi Kishimba...amesema kwamba atajenga kilometre ishirini za rami mjini humo...akihutubia wakazi wa kata nyahanga,mheshimiwa Nkandi alisema..tatizo la mji wa kahama ni miundombinu ya barabara,msongamano mkubwa ktk hospitali ya manispaa ya kahama....yeye akichaguliwa na wanakahama atatatua kero hizo ikiwemo na kuunganisha umeme wa uhakika ktk mgodi wa Buzwagi.....Kishimba amekuwa mdau mkubwa ktk kuchochea maendeleo ktk wilaya yake ya kahama ikiwemo kujenga shule na kuikabidhi serkali....pia sehemu ambazo wananchi waliitaji mchango wake bwana kishimba hakuwaacha nyuma....Hivyo kwa jinsi upepo ulivyo kahama Lembeli ana hali ngumu sana ya kisiasa...lembeli amekuwa akikutana na maswali mbalimbali kwamba"tangu awe mbunge kahama..amefanya nini kahama ili wanakahama wamkumbuke?"

wajinga ndio waliwao. usitegemee jipya kutoka ccm.ndo maana wanaimba "ccm ni ileile...mtaisoma namba." sasa mnategemea jipya kutoka ccm?
 
Mgombea ubunge jimbo la kahama mjini Mh.Jumanne Nkandi Kishimba...amesema kwamba atajenga kilometre ishirini za rami mjini humo...akihutubia wakazi wa kata nyahanga,mheshimiwa Nkandi alisema..tatizo la mji wa kahama ni miundombinu ya barabara,msongamano mkubwa ktk hospitali ya manispaa ya kahama....yeye akichaguliwa na wanakahama atatatua kero hizo ikiwemo na kuunganisha umeme wa uhakika ktk mgodi wa Buzwagi.....Kishimba amekuwa mdau mkubwa ktk kuchochea maendeleo ktk wilaya yake ya kahama ikiwemo kujenga shule na kuikabidhi serkali....pia sehemu ambazo wananchi waliitaji mchango wake bwana kishimba hakuwaacha nyuma....Hivyo kwa jinsi upepo ulivyo kahama Lembeli ana hali ngumu sana ya kisiasa...lembeli amekuwa akikutana na maswali mbalimbali kwamba"tangu awe mbunge kahama..amefanya nini kahama ili wanakahama wamkumbuke?"

Km 1 ya lami unajua gharama yake au unashabikia tu!
 
Kwa uzoefu wng mdogo km 1 ya lami inaweza kugharimu 900Mil hadi 1Bil.Ss hizo pesa yy kama mbunge atatoa wp???? Tuwe makini jmn.

Kama uliuwepo akilini mwangu,ni 1.2 bn kwa 1 km,na lami hii ni ya kawaida wanasema Kama hizi zinazoingia kwenye mitaa yetu ya ndani kwenye makazi..ila kwa lami ya barabara ya kiwango haswa kama hizi za barabara kubwa. Kama hizi. Za strabaga,inakwenda zaidi ya hii 1.2bn
 
Hapa kahama ccm iko katika hali tete, Kishimba anatamani kujitoa maana ccm wanatumia pesa zake tu.
Kahama ni mabadiliko Kwa kwenda mbele, Lowasa na Lembeli wanangojea kuapishwa tu
 
Back
Top Bottom