Kishimba azidi kutamba,lembeli azidi kunywea

Kishimba azidi kutamba,lembeli azidi kunywea

Ndugu yangu usidandie meli kwa mbele Kishimba namfahamu ni mtu wakujitolea tangu siku nyingi ni mzalendo wa kweli alijenga shule ya sekondari kwa ghalama zake na akikabidhi serikali bila fidia niambie nani anaeza akafanya hivo mwingine.
Sio hivo tu zamani alikuwa anakopesha mali wafanyabiashara karibu kanda ya ziwa yote uliza kama nasema uongo kwa Kahama Mzee wa nyeti za kuku hapati kitu ajipange tena

Mkuu kumbe hata ww hujui historia ya KISHIMBA (Mgombea) na haujui historia ya KISHIMBA (shule ya sec)
Kama hujui kitu jaribu kuwa unauliza kwanza. Labda uwe unaongelea shule ya KISHIMBA nyingine tofaut na ninayoifaham mm. Ninayoifaham mm na nahisi ndio ulioitaja hapo juu ni shule iliopo kata ya MALUNGA kitongoji cha MWAMVA, ipo kushoto kama unayokea MANZESE, au kulia kama unatokea kahama mjini.

Nakuja na jibu lako na ufafanuz mzuuuuri juu ya kishimba, mali zake, historia yake na kwanini anagombea ubunge jimbo la KAHAMA.

vuta subira nakuja na kila kitu
 
Cdm ni full viroba,akili hakuna,ubishi tu usio na tija,shame on you cdm
 
Mgombea ubunge jimbo la kahama mjini Mh.Jumanne Nkandi Kishimba...amesema kwamba atajenga kilometre ishirini za rami mjini humo...akihutubia wakazi wa kata nyahanga,mheshimiwa Nkandi alisema..tatizo la mji wa kahama ni miundombinu ya barabara,msongamano mkubwa ktk hospitali ya manispaa ya kahama....yeye akichaguliwa na wanakahama atatatua kero hizo ikiwemo na kuunganisha umeme wa uhakika ktk mgodi wa Buzwagi.....Kishimba amekuwa mdau mkubwa ktk kuchochea maendeleo ktk wilaya yake ya kahama ikiwemo kujenga shule na kuikabidhi serkali....pia sehemu ambazo wananchi waliitaji mchango wake bwana kishimba hakuwaacha nyuma....Hivyo kwa jinsi upepo ulivyo kahama Lembeli ana hali ngumu sana ya kisiasa...lembeli amekuwa akikutana na maswali mbalimbali kwamba"tangu awe mbunge kahama..amefanya nini kahama ili wanakahama wamkumbuke?"

kishimba hakubaliki kwa lolote acha kudanganya umma! amekuwa zimbabwe kwa miaka kibao akifanya biashara zake
na wala hakuwahi kujenga shule kama unavyojaribu kumpamba,shule ile ni michango ya wana kahama wote nikiwepo mimi.kishimba arudi akaendelee na biashara zake kwan hata kuongea na kujenga hoja hajui. MBUNGE WETU NI JAMES DAUDI LEMBELI.
 
Kama uliuwepo akilini mwangu,ni 1.2 bn kwa 1 km,na lami hii ni ya kawaida wanasema Kama hizi zinazoingia kwenye mitaa yetu ya ndani kwenye makazi..ila kwa lami ya barabara ya kiwango haswa kama hizi za barabara kubwa. Kama hizi. Za strabaga,inakwenda zaidi ya hii 1.2bn

Yes kamanda.sasa tujiulize, hii pesa atatoa wp na atairudishaje??? Kama inawezekana kwa kuwa yeye ana pesa, basi aanze kuijenga sasa,sio lazima achaguliwe kwanza.
 
We wasema atashinda kishimba ndo nini apana kumpa shetani mfumo gani huo
 
wewe na huyo mjinga mwenzio kashimbe, kamweleze aende akawadanganye ndg zako na zake atajenga barabara???????? serikali yake imeshindwa yeyey ataweza??? hizo ngojera ni miaka hiyoooo nitaleta maji, umeme nk. siyo sasa
 
Back
Top Bottom