Kishika uchumba kimerudishwa

Kishika uchumba kimerudishwa

Wazazi wabinafsi sana na akiendeleaaa kuwasikiliza atashangaa hamna wa kukuoa
Just imagine anaingia Tena Kwa soko mpk apate wa kumuoa
Si ndyo hapo hawajui jinsi gani ilivyo ngumu kuanza upya siku hizi
 

Mrejesho wa Thread hapo juu

Baada ya vuta ni kuvute kati ya familia ya kijana na binti kuhusu mahari.

Wanafamilia wa kijana wengi walionyesha kuchukizwa na tabia ya familia ya binti, baadhi ya wanafamilia wakiapa kuwa kama kijana akiendelea na mipango ya kumuoa huyo binti, wao hawatashiriki kabisa katika jambo hilo.

Kutokana na hali hiyo ya kutofikia muafaka kijana akakubali bora yaishe, Mshenga akatuma barua kwa familia ya binti kuwa kwa mahari hiyo ya milioni 5 bila kupungua , wao wameshindwa.

Baada ya wiki familia ya binti ikarudisha barau ya posa juu imeandikwa na wino mwekundu, IMEKATALIWA pamoja na shilingi laki tano za kishika uchumba.

Baada ya hayo ndugu wa kijana wengi wameonyesha kufurahishwa na muafaka huo.

Kijana amekubali matokeo kuwa haikuwa ridhiki yake.

Binti yeye ameonyesha kukubali kishingo upande kwani hii ni posa ya pili imekataliwa nyumbani kwao dhidi yake.
Binti hataolewa tena atazalia home na kupata usijili wa kudumu wa single mother
 

Mrejesho wa Thread hapo juu

Baada ya vuta ni kuvute kati ya familia ya kijana na binti kuhusu mahari.

Wanafamilia wa kijana wengi walionyesha kuchukizwa na tabia ya familia ya binti, baadhi ya wanafamilia wakiapa kuwa kama kijana akiendelea na mipango ya kumuoa huyo binti, wao hawatashiriki kabisa katika jambo hilo.

Kutokana na hali hiyo ya kutofikia muafaka kijana akakubali bora yaishe, Mshenga akatuma barua kwa familia ya binti kuwa kwa mahari hiyo ya milioni 5 bila kupungua , wao wameshindwa.

Baada ya wiki familia ya binti ikarudisha barau ya posa juu imeandikwa na wino mwekundu, IMEKATALIWA pamoja na shilingi laki tano za kishika uchumba.

Baada ya hayo ndugu wa kijana wengi wameonyesha kufurahishwa na muafaka huo.

Kijana amekubali matokeo kuwa haikuwa ridhiki yake.

Binti yeye ameonyesha kukubali kishingo upande kwani hii ni posa ya pili imekataliwa nyumbani kwao dhidi yake.
Kabla ya posa ya tatu kukataliwa tena inabidi, hao wakataa posa wamuoe wao, la sivyo wajiandae kulea wajikuu non stop.
 
We nae miyeyusho ukishaona Kuna vikwazo vingi kumchukua binti rejea kwenye katiba ya jamhuri ya mabachela ibara 19 kifungu kidogo 2(a)piga mimba, ikifika miezi sita Anza taratibu za uchumba haraka sana, ikiwezekana zuga uonekane mimba si yako bali lengo lako ni kumuoa na mimba si kikwazo
 

Mrejesho wa Thread hapo juu

Baada ya vuta ni kuvute kati ya familia ya kijana na binti kuhusu mahari.

Wanafamilia wa kijana wengi walionyesha kuchukizwa na tabia ya familia ya binti, baadhi ya wanafamilia wakiapa kuwa kama kijana akiendelea na mipango ya kumuoa huyo binti, wao hawatashiriki kabisa katika jambo hilo.

Kutokana na hali hiyo ya kutofikia muafaka kijana akakubali bora yaishe, Mshenga akatuma barua kwa familia ya binti kuwa kwa mahari hiyo ya milioni 5 bila kupungua , wao wameshindwa.

Baada ya wiki familia ya binti ikarudisha barau ya posa juu imeandikwa na wino mwekundu, IMEKATALIWA pamoja na shilingi laki tano za kishika uchumba.

Baada ya hayo ndugu wa kijana wengi wameonyesha kufurahishwa na muafaka huo.

Kijana amekubali matokeo kuwa haikuwa ridhiki yake.

Binti yeye ameonyesha kukubali kishingo upande kwani hii ni posa ya pili imekataliwa nyumbani kwao dhidi yake.
Daah
 
Hiyo familia itakuwa na Upungufu wa Akili,huyo jamaa ashukuru kwasababu wangepata watoto wakapita kwenye mkondo huohuo wa Kipumbavu!.

Kuna mmoja naye alikuwa hapishani sana hii stori,yule mwanamke alikuwa mrembo sana na familia yake alikuwa inawakataa wanaume wasiokuwa wa kabila lake,ile familia iliwakataa wanaume wenye nyadhifa kwasababj tu hawakuwa kabila lake,kwakuwa familia yake ilikuwa na nguvu binti aliwakataa wanaume wale akafuatisha maneno ya Familia na ndugu zake.

Yule Mwanamke alikuja kuangukia kwa mwanaume ambaye alikuwa jambazi(Aliuawa na Polisi kwenye matukio yao ya ujambazi),Kwakuwa familia yake iliridhia aolewe na yeye akaolewa na mwisho wa siku jamaa alikufa kwa kupigwa risasi akamzalisha watoto 5 akamuacha hana chochote akaamua kurudi kwao wakamsaidie kulea,Alichakaa,akakonda,akaisha na hatimaye Alikufa.
 
We nae miyeyusho ukishaona Kuna vikwazo vingi kumchukua binti rejea kwenye katiba ya jamhuri ya mabachela ibara 19 kifungu kidogo 2(a)piga mimba, ikifika miezi sita Anza taratibu za uchumba haraka sana, ikiwezekana zuga uonekane mimba si yako bali lengo lako ni kumuoa na mimba si kikwazo
Hili ndilo wazo mzigo kwanza document baadaye🤣🤣🤣🤣🤣🪑
 
Back
Top Bottom