Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Acha hasira. Lazima irudishe pesa kidogo kidogo.4,000 mbona nyingi, fanyeni iwe bure kabisa, lakini Dar-moro hakuna tatizo la usafiri.
Acha hasira. Lazima irudishe pesa kidogo kidogo.4,000 mbona nyingi, fanyeni iwe bure kabisa, lakini Dar-moro hakuna tatizo la usafiri.
Shera ipi?Kuomba kuteuliwa kugombea uraisi ni kitu sensitive. Mhusika anatakiwa kuwepo mwenyewe. Atie sahihi mwenyewe kwenye forms ambako zipo sehemu hadi za viapo ambazo mwapaji anatakiwa kuwa mhusika mwenyewe sio wakala.
Katiba cha CHADEMA iko wazi inatamka kuchukua fomu ofisi ya chama sio mtandaoni na inatamka kuzirudisha ni ofisi ya chama sio mtandaoni
Katiba ya chadema pia haitamki popote kuwa mtu anaruhusiwa kuchukua fomu kupitia wakala na kuirudisha kupitia wakala kwenye katiba haimo!!!
Lisu anasema atarudi nchini tarehe 28 JULY 2020. Deadline ya kurudisha fomu za ugombea uraisi ni tarehe 19 July 2020 ina maana hatakuweko nchini fomu zikirudishwa. Je, kile kipengele cha kiapo cha kuthibitisha kuwa maelezo yote yaliyoko kwenye fomu na viambatanishi vyake ni sahihi atasaini wakala wake mbele ya katibu mkuu mpokea fomu ya ugombea urais?
Sababu kisheria ile sehemu inatakiwa ijazwe na kusainiwa na mhusika
BabakoJibu hoja nani atasaini Kiapo cha Lissu??
Kuomba kuteuliwa kugombea uraisi ni kitu sensitive. Mhusika anatakiwa kuwepo mwenyewe. Atie sahihi mwenyewe kwenye forms ambako zipo sehemu hadi za viapo ambazo mwapaji anatakiwa kuwa mhusika mwenyewe sio wakala.
Katiba cha CHADEMA iko wazi inatamka kuchukua fomu ofisi ya chama sio mtandaoni na inatamka kuzirudisha ni ofisi ya chama sio mtandaoni
Katiba ya chadema pia haitamki popote kuwa mtu anaruhusiwa kuchukua fomu kupitia wakala na kuirudisha kupitia wakala kwenye katiba haimo!!!
Lisu anasema atarudi nchini tarehe 28 JULY 2020. Deadline ya kurudisha fomu za ugombea uraisi ni tarehe 19 July 2020 ina maana hatakuweko nchini fomu zikirudishwa. Je, kile kipengele cha kiapo cha kuthibitisha kuwa maelezo yote yaliyoko kwenye fomu na viambatanishi vyake ni sahihi atasaini wakala wake mbele ya katibu mkuu mpokea fomu ya ugombea urais?
Sababu kisheria ile sehemu inatakiwa ijazwe na kusainiwa na mhusika
ShwainiHata mwanafunzi wa sheria mwaka wa kawanza ataweza kumuwekea Lissu pingamizi na akamshinda. Watchout!!!
Sawa maana mlitaka watu watake matakwa yenu yasiyofaa. Wakati watanzania wanataka maendeleo.Ule haukuwa uchaguzi, bali ilikuwa maenyesho ya ujinga wa mtu mweusi.
Hata kugombea anaweza kugombea akiwa nje ya nchi na akashinda aakaja siku ya kuapishwa tayari akiwa na ulinzi. Hii imetokea nchi nyingi tu kwa sababu mazingira yanapelekea mtu kuwa nje ya nchi yake kwa usalama wake
Nilichogundua Lissu hana nia ya kurudi nchini wala kugombea ur a is,anachokifanya ni kutaka asisahaulike kwa mashabiki wake,awe anatamkwa kila mara,nikuhakikishie chadema hairampitusha na tarehe aliyoitaja hatakuja,amini
Hahahaha mdomo koma!Mlitaka iweje wakati wajumbe wote wanamkubali?
Kwani wewe kurukia ya kwenu huwezi?Jibu hoja acha kurukia vitu usivyo vijua wewe dada! Hangaika na Lissu wako huko! Usifikiri tumeshasahau mambo yako!
Akikusalitia nini au mama yako?Ni msaliti wa nchi ndiyo maana watz wanamuongelea sana!
Unachokita wewe ni kipi kutoka kwake?Ubelgiji Ndiko iliko ofisi ya katibu mkuu wa chadema alipochukulia fomu?
Kwa ushindani wakura au vyombo vya dola.Umekuwa mtu wa kulialia tu baada ya kujua Cdm itapigwa vibaya kwenye uchaguzi.
Chadema hii ya wavuta bangi na wanywa konyagi? Na nyie mnataka madiwani na wabunge?Kwa ushindani wakura au vyombo vya dola.
Nakuapia Kwa majina yote ya Mungu ccm haitashinda Kwa ushindani halali WA kura na hilounalijua.
Nguvu kubwa wanaielekeza kupata msaada WA vyombo vya dola.
Jinsi mnavyoshinda katibu wako ameshaeleza.
Hufahamiki upo upande gani kihoja.Chadema hii ya wavuta bangi na wanywa konyagi? Na nyie mnataka madiwani na wabunge?
Lissu anatoa taarifa za kufuatiliwa na gari isiyojulikana 2017Hata mwanafunzi wa sheria mwaka wa kawanza ataweza kumuwekea Lissu pingamizi na akamshinda. Watchout!!!
Lissu anatoa taarifa za kufuatiliwa na gari isiyojulikana 2017Ni msaliti wa nchi ndiyo maana watz wanamuongelea sana!
akikujibu mwambie aagize balimi nakuja namlipia...............Ni halali kukusanya wajumbe kutoka Tanzania nzima kumpigia mwenyekiti kura ya ndiyo pale Dodoma.