Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
Umekuwa mtu wa kulialia tu baada ya kujua Cdm itapigwa vibaya kwenye uchaguzi.Kama yeye ndio mmiliki wa kundi la watu wasiojulikana, ataacha kuwepo na kusaini yeye personal?
Umekuwa mtu wa kulialia tu baada ya kujua Cdm itapigwa vibaya kwenye uchaguzi.Kama yeye ndio mmiliki wa kundi la watu wasiojulikana, ataacha kuwepo na kusaini yeye personal?
maajabu pekee tanzania ....unajua sheria kuliko lissu...au hayo unadhani hayaoniUbelgiji Ndiko iliko ofisi ya katibu mkuu wa chadema alipochukulia fomu?
Umekuwa mtu wa kulialia tu baada ya kujua Cdm itapigwa vibaya kwenye uchaguzi.
Kilio juu ya kilio baada ya kichapo.Magufuli hawezi ushindani wa kisiasa zaidi ya matumizi mabaya ya madaraka.
Kadiri uchaguzi unavyokaribia unakuwa mnyonge sana.Magufuli hawezi ushindani wa kisiasa zaidi ya matumizi mabaya ya madaraka.
Kadiri uchaguzi unavyokaribia unakuwa mnyonge sana.
Watanzania hawataki porojo wanataka matokeo. Mwezi wa nane Sgr Moro to Dar inaanza kazi. Sasa hapo utashindana nae?Unyonge niutoe wapi, mimi nataka uchaguzi ufike udhibitishe maneno yangu ya kila siku kuwa Magufuli hawezi ushindani kwa njia ya kura, na hata aweze. Unyonge utoke wapi kwa tabia ninayoijua?
Watanzania hawataki porojo wanataka matokeo. Mwezi wa nane Sgr Moro to Dar inaanza kazi. Sasa hapo utashindana nae?
Aje achukue form na kuirejesha mwenyewe ili tumshinde kwa kishindo kwenye sanduku LA Kura, asitengeneze mazingira ya kuondolewa kwenye kinyanga'anyiro kwa kukiuka kanuni, sheria na kanuni.Kuomba kuteuliwa kugombea uraisi ni kitu sensitive. Mhusika anatakiwa kuwepo mwenyewe. Atie sahihi mwenyewe kwenye forms ambako zipo sehemu hadi za viapo ambazo mwapaji anatakiwa kuwa mhusika mwenyewe sio wakala.
Katiba cha CHADEMA iko wazi inatamka kuchukua fomu ofisi ya chama sio mtandaoni na inatamka kuzirudisha ni ofisi ya chama sio mtandaoni
Katiba ya chadema pia haitamki popote kuwa mtu anaruhusiwa kuchukua fomu kupitia wakala na kuirudisha kupitia wakala kwenye katiba haimo!!!
Lisu anasema atarudi nchini tarehe 28 JULY 2020. Deadline ya kurudisha fomu za ugombea uraisi ni tarehe 19 July 2020 ina maana hatakuweko nchini fomu zikirudishwa. Je, kile kipengele cha kiapo cha kuthibitisha kuwa maelezo yote yaliyoko kwenye fomu na viambatanishi vyake ni sahihi atasaini wakala wake mbele ya katibu mkuu mpokea fomu ya ugombea urais?
Sababu kisheria ile sehemu inatakiwa ijazwe na kusainiwa na mhusika
Unadhani Chadema ni analog kama CCM? Chadema ni digital bana! Na subiri ichukue madaraka octoba hii utashangaa uchaguzi wa 2025 tutapiga mtandaoni sio lazima kupanga foleni kama unaingia mpirani.Jibu hoja nani atasaini Kiapo cha Lissu??
Ahaaa hapo dogo ndio huwa unachemka. Treni itakuwa elfu nne alafu fasta. Tofauti na basi. Lazima maisha yabadilike. Hata usafiri wa mizigo utakuwa cheap. Ile ya Moro Dodoma itakamilika fasta. Acha kuwa na mawazo mgando.Ilikuwa ianze mwaka jana December. Halafu Dar-moro hakuna shida yoyote ya usafiri. So nothing special.
Hivi unadhani fomu za CCM ndio za Chadema?Fomu za ugombea unatakiwa kusaini mbele ya mpokea fomu uki certify mbele yake na mashahidi wakiwepo physically sio digitally ENEO LA KIAPO KUWA YOTE YALIYOMO NDANI YA FOMU NI KWELI NA NI YAKO MWENYEWE
UNA SAINI KWA MKONO WAKO MBELE YA MASHAHIDI
Ahaaa hapo dogo ndio huwa unachemka. Treni itakuwa elfu nne alafu fasta. Tofauti na basi. Lazima maisha yabadilike. Hata usafiri wa mizigo utakuwa cheap. Ile ya Moro Dodoma itakamilika fasta. Acha kuwa na mawazo mgando.
Hahahahaha wewe Dada wewe hahahahaha na kikao akaongoza mwenyeweNi halali kukusanya wajumbe kutoka Tanzania nzima kumpigia mwenyekiti kura ya ndiyo pale Dodoma.
Yaani nilipe 4000 kwa muda mfupi ni sawa na 8000 kwa masaa matatu? Comfortability?Narudia tena, hakuna tatizo lolote la usafiri kati ya Dar-Moro, hivyo hiyo treni itaongeza ushindani tu katika vyombo vya usafiri. Lakini hakuna mwenye tatizo la usafiri njia hiyo.
Mlitaka iweje wakati wajumbe wote wanamkubali?Hahahahaha wewe Dada wewe hahahahaha na kikao akaongoza mwenyewe
Yaani nilipe 4000 kwa muda mfupi ni sawa na 8000 kwa masaa matatu? Comfortability?
Nilichogundua Lissu hana nia ya kurudi nchini wala kugombea ur a is,anachokifanya ni kutaka asisahaulike kwa mashabiki wake,awe anatamkwa kila mara,nikuhakikishie chadema hairampitusha na tarehe aliyoitaja hatakuja,aminiKuomba kuteuliwa kugombea uraisi ni kitu sensitive. Mhusika anatakiwa kuwepo mwenyewe. Atie sahihi mwenyewe kwenye forms ambako zipo sehemu hadi za viapo ambazo mwapaji anatakiwa kuwa mhusika mwenyewe sio wakala.
Katiba cha CHADEMA iko wazi inatamka kuchukua fomu ofisi ya chama sio mtandaoni na inatamka kuzirudisha ni ofisi ya chama sio mtandaoni
Katiba ya chadema pia haitamki popote kuwa mtu anaruhusiwa kuchukua fomu kupitia wakala na kuirudisha kupitia wakala kwenye katiba haimo!!!
Lisu anasema atarudi nchini tarehe 28 JULY 2020. Deadline ya kurudisha fomu za ugombea uraisi ni tarehe 19 July 2020 ina maana hatakuweko nchini fomu zikirudishwa. Je, kile kipengele cha kiapo cha kuthibitisha kuwa maelezo yote yaliyoko kwenye fomu na viambatanishi vyake ni sahihi atasaini wakala wake mbele ya katibu mkuu mpokea fomu ya ugombea urais?
Sababu kisheria ile sehemu inatakiwa ijazwe na kusainiwa na mhusika
Mlitaka iweje wakati wajumbe wote wanamkubali?