Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,325
- 5,543
Hamtoacha kuweweseka
Ni msaliti wa nchi ndiyo maana watz wanamuongelea sana!
Ni msaliti wa nchi ndiyo maana watz wanamuongelea sana!
mungu wa chato yesu wa magambaJibu hoja nani atasaini Kiapo cha Lissu??
fomu alichukua mwenyewe personally na kurudisha alirudisha mwenyewe personaly na kusaini kiapo personally kuwa contents zote kwenye fomu zake
Lisu fomu kachukuliwa na kurudisha hatakuwepo nchini wakala atarudisha yeye personnaly hatakuwepo kusaini eneo la kiapo mbele ya katibu mkuu personally
Hata za chama zina sehemu ya kiapo ukishajaza ukazunguka kutafuta wadhamini ukirudisha kuna sehemu ya kiapo ya kusaini kuwa hizo taarifa ulizoweka ni sahihi na kweli kisheriaHuwa una lala na kuamka kama unaota. Unajua hiyo fomu ni ya NEC au ni mchakato ndani ya chama? Usiandike tuu ili uonekane ume anzisha mada
Katiba za nchi zao zinaruhusu hilo sisi katiba za vyama na katiba ya nchi haviruhusuHata kugombea anaweza kugombea akiwa nje ya nchi na akashinda aakaja siku ya kuapishwa tayari akiwa na ulinzi. Hii imetokea nchi nyingi tu kwa sababu mazingira yanapelekea mtu kuwa nje ya nchi yake kwa usalama wake
Haipo kwenye katiba ya chadema hiyo POASifahamu vyema kanuni za Uchaguzi za Chadema ila , kisheria kuna issue ya Power of Attorney.
KUKUSANYA watu sio halali hata kidogo. Ila KUJIKUSANYA ni halali kwa mujibu wa katiba wananchi wana haki kukusanyika.Ni halali kukusanya wajumbe kutoka Tanzania nzima kumpigia mwenyekiti kura ya ndiyo pale Dodoma.
Kwani wewe unaona ni kazi kubwa saaaana Lissu kuzisaini akiwa Ubelgiji?Hata za chama zina sehemu ya kiapo ukishajaza ukazunguka kutafuta wadhamini ukirudisha kuna sehemu ya kiapo ya kusaini kuwa hizo taarifa ulizoweka ni sahihi na kweli kisheria
Ubelgiji Ndiko iliko ofisi ya katibu mkuu wa chadema alipochukulia fomu?
Ni msaliti wa nchi ndiyo maana watz wanamuongelea sana!