Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Mtahangaika sana na wabunge uchwara wa gereji mpaka mchoke .
Sheria ya Lumumba hiyo. Chama hakikupendekeza wala hakikupeleka majina yao. Wewe una ushahidi wa CHADEMA kuhusika kwenye hili suala ?Chama kikishamvua uanachama mbunge hatua inayofuata ni kulitaarifu bunge juu ya uamuzi huo na Spika akisharidhika anaiandikia tume kuwa nafasi husika iwazi ili tume ya uchaguzi ifanye utaratibu wa kujaza.
Lakini hebu tujiulize utaratibu upoje? CHADEMA iliwavua ubunge akina Mdee na wenzake na ikawapa muda wa wao kukata rufaa,
Je, katika muda huo wa kukata rufaa je CHADEMA ilitakiwa/ilishalitaarifu bunge? Kisheria si sahihi kulitaarifu bunge kwa sababu chama hakijamalizana nao bali lazima kisubiri mpaka muda kiliowapa kukata rufaa upite Kama hawajakata rufaa ndiyo kimtaarifu Spika juu ya uamuzi wao.
Baadaye Mdee na wenzake walikata rufaa kupinga uamuzi huo wa chama Baraza kuu la chama.
Swali: je, wamepoteza ubunge baada ya kukata rufaa na rufaa yao haijasikilizwa? Kisheria ni hapana, chama hakipaswi kimtaarifu Spika kabla hakijasikiliza rufaa yao maana wakimtaarifu Spika akina Mdeee watapoteza ubunge sasa kutakuwa na haja gani ya kusikiliza rufaa ya uanachama wa mtu ambaye mshatekeleza hukumu yake?
Je, mkishamtaarifu Spika akamvua ubunge halafu Baraza kuuu likabaini hawana kosa na waliapishwa bungeni kihalali mtakuwa na uwezo wa kuwarudishia ubunge?
Hivyo kisheria mpaka sasa akina Mdee ni wabunge halali wa Bunge la JMT kwa tiketi ya chama cha CHADEMA, na hii ngoma ninavyoiona ikitoka Baraza kuu break ya kwanza ni mahakamani kuchukua ubunge wa Mahakama.
Usiandike mavi, haya ni mavi kama hayako backed by law /constitutional articles. Those are your personal opinion. Wapi kwa sheria ipi kuwa Spika akishapata baua ya kywafukuza uanachama lazima "aridhike". ndiyo aitaarifu tume?Chama kikishamvua uanachama mbunge hatua inayofuata ni kulitaarifu bunge juu ya uamuzi huo na Spika akisharidhika anaiandikia tume kuwa nafasi husika iwazi ili tume ya uchaguzi ifanye utaratibu wa kujaza.
Lakini hebu tujiulize utaratibu upoje? CHADEMA iliwavua ubunge akina Mdee na wenzake na ikawapa muda wa wao kukata rufaa,
Je, katika muda huo wa kukata rufaa je CHADEMA ilitakiwa/ilishalitaarifu bunge? Kisheria si sahihi kulitaarifu bunge kwa sababu chama hakijamalizana nao bali lazima kisubiri mpaka muda kiliowapa kukata rufaa upite Kama hawajakata rufaa ndiyo kimtaarifu Spika juu ya uamuzi wao.
Baadaye Mdee na wenzake walikata rufaa kupinga uamuzi huo wa chama Baraza kuu la chama.
Swali: je, wamepoteza ubunge baada ya kukata rufaa na rufaa yao haijasikilizwa? Kisheria ni hapana, chama hakipaswi kimtaarifu Spika kabla hakijasikiliza rufaa yao maana wakimtaarifu Spika akina Mdeee watapoteza ubunge sasa kutakuwa na haja gani ya kusikiliza rufaa ya uanachama wa mtu ambaye mshatekeleza hukumu yake?
Je, mkishamtaarifu Spika akamvua ubunge halafu Baraza kuuu likabaini hawana kosa na waliapishwa bungeni kihalali mtakuwa na uwezo wa kuwarudishia ubunge?
Hivyo kisheria mpaka sasa akina Mdee ni wabunge halali wa Bunge la JMT kwa tiketi ya chama cha CHADEMA, na hii ngoma ninavyoiona ikitoka Baraza kuu break ya kwanza ni mahakamani kuchukua ubunge wa Mahakama.
Chama kikishamvua uanachama mbunge hatua inayofuata ni kulitaarifu bunge juu ya uamuzi huo na Spika akisharidhika anaiandikia tume kuwa nafasi husika iwazi ili tume ya uchaguzi ifanye utaratibu wa kujaza.
Lakini hebu tujiulize utaratibu upoje? CHADEMA iliwavua ubunge akina Mdee na wenzake na ikawapa muda wa wao kukata rufaa,
Je, katika muda huo wa kukata rufaa je CHADEMA ilitakiwa/ilishalitaarifu bunge? Kisheria si sahihi kulitaarifu bunge kwa sababu chama hakijamalizana nao bali lazima kisubiri mpaka muda kiliowapa kukata rufaa upite Kama hawajakata rufaa ndiyo kimtaarifu Spika juu ya uamuzi wao.
Baadaye Mdee na wenzake walikata rufaa kupinga uamuzi huo wa chama Baraza kuu la chama.
Swali: je, wamepoteza ubunge baada ya kukata rufaa na rufaa yao haijasikilizwa? Kisheria ni hapana, chama hakipaswi kimtaarifu Spika kabla hakijasikiliza rufaa yao maana wakimtaarifu Spika akina Mdeee watapoteza ubunge sasa kutakuwa na haja gani ya kusikiliza rufaa ya uanachama wa mtu ambaye mshatekeleza hukumu yake?
Je, mkishamtaarifu Spika akamvua ubunge halafu Baraza kuuu likabaini hawana kosa na waliapishwa bungeni kihalali mtakuwa na uwezo wa kuwarudishia ubunge?
Hivyo kisheria mpaka sasa akina Mdee ni wabunge halali wa Bunge la JMT kwa tiketi ya chama cha CHADEMA, na hii ngoma ninavyoiona ikitoka Baraza kuu break ya kwanza ni mahakamani kuchukua ubunge wa Mahakama.
Mondulilongindo ipi ?
Ukikata rufaa maana yake umekubali hukumu ya kwanza ipo lkn hujairidhia.Chama kikishamvua uanachama mbunge hatua inayofuata ni kulitaarifu bunge juu ya uamuzi huo na Spika akisharidhika anaiandikia tume kuwa nafasi husika iwazi ili tume ya uchaguzi ifanye utaratibu wa kujaza.
Lakini hebu tujiulize utaratibu upoje? CHADEMA iliwavua ubunge akina Mdee na wenzake na ikawapa muda wa wao kukata rufaa,
Je, katika muda huo wa kukata rufaa je CHADEMA ilitakiwa/ilishalitaarifu bunge? Kisheria si sahihi kulitaarifu bunge kwa sababu chama hakijamalizana nao bali lazima kisubiri mpaka muda kiliowapa kukata rufaa upite Kama hawajakata rufaa ndiyo kimtaarifu Spika juu ya uamuzi wao.
Baadaye Mdee na wenzake walikata rufaa kupinga uamuzi huo wa chama Baraza kuu la chama.
Swali: je, wamepoteza ubunge baada ya kukata rufaa na rufaa yao haijasikilizwa? Kisheria ni hapana, chama hakipaswi kimtaarifu Spika kabla hakijasikiliza rufaa yao maana wakimtaarifu Spika akina Mdeee watapoteza ubunge sasa kutakuwa na haja gani ya kusikiliza rufaa ya uanachama wa mtu ambaye mshatekeleza hukumu yake?
Je, mkishamtaarifu Spika akamvua ubunge halafu Baraza kuuu likabaini hawana kosa na waliapishwa bungeni kihalali mtakuwa na uwezo wa kuwarudishia ubunge?
Hivyo kisheria mpaka sasa akina Mdee ni wabunge halali wa Bunge la JMT kwa tiketi ya chama cha CHADEMA, na hii ngoma ninavyoiona ikitoka Baraza kuu break ya kwanza ni mahakamani kuchukua ubunge wa Mahakama.
Tueleze ukweli unao ufahamu wewe, hivi suala lina onekana kama kizungumkuti vile. Mitandaoni tunang'ang'ana, watoshe na uhalisia ama ukweli ni upi?uongo utakusaidia nini ?
Mhangaikaji. Imetoka hiyo. Waendelee kuwa wabunge wa Ndugai na CCM. It is over.Aya yako ya kwanza tu inakinzana na kichwa cha mada. Lini Chadema iliwahi kuwateua uliowataja kuwa wawakilishi wa chama chao bungeni? Kama haikuwahi kuwateua kama chama kinavyodai kinawezaje kufanya hayo mengiiiiiii iliyoelezwa???!!!!
SAWA TU. WAENDELEE KULA FEDHA ZA UMMA TU. SIONI SABABU YA NINYI KUHANGAIKA KUWASUMBUA CHADEMA ETI WAMTAARIFA SPIKA KUWA HAWAWATAMBUI AKINA MDEE. HAWAWEZI KUSIKILIZWA HATA KIDOGO. HASARA NI YETU SISI AMBAO HIZO FEDHA ZINGEENDA KUNINUA GLOVES ZA MADAKTARI WETU WALIOTELEKEZWA NA SILIKALE HII YA JIWE. WANAHANGAIKA NA WAGONJWA WA CORONA BILA MSAADA WA SILIKALE YA SISIEM. MUNGU ANATUSAIDIA KWA SABABU AMEONA WATANZANIA HATUNA WA KUTUJALI. AMEAMUA AWE MUNGU WETU NA SISI TUWE WATOTO WAKE. TUMEKUWA YATIMA, AMEONA AWE BABA WA YATIMA.Chama kikishamvua uanachama mbunge hatua inayofuata ni kulitaarifu bunge juu ya uamuzi huo na Spika akisharidhika anaiandikia tume kuwa nafasi husika iwazi ili tume ya uchaguzi ifanye utaratibu wa kujaza.
Lakini hebu tujiulize utaratibu upoje? CHADEMA iliwavua ubunge akina Mdee na wenzake na ikawapa muda wa wao kukata rufaa,
Je, katika muda huo wa kukata rufaa je CHADEMA ilitakiwa/ilishalitaarifu bunge? Kisheria si sahihi kulitaarifu bunge kwa sababu chama hakijamalizana nao bali lazima kisubiri mpaka muda kiliowapa kukata rufaa upite Kama hawajakata rufaa ndiyo kimtaarifu Spika juu ya uamuzi wao.
Baadaye Mdee na wenzake walikata rufaa kupinga uamuzi huo wa chama Baraza kuu la chama.
Swali: je, wamepoteza ubunge baada ya kukata rufaa na rufaa yao haijasikilizwa? Kisheria ni hapana, chama hakipaswi kimtaarifu Spika kabla hakijasikiliza rufaa yao maana wakimtaarifu Spika akina Mdeee watapoteza ubunge sasa kutakuwa na haja gani ya kusikiliza rufaa ya uanachama wa mtu ambaye mshatekeleza hukumu yake?
Je, mkishamtaarifu Spika akamvua ubunge halafu Baraza kuuu likabaini hawana kosa na waliapishwa bungeni kihalali mtakuwa na uwezo wa kuwarudishia ubunge?
Hivyo kisheria mpaka sasa akina Mdee ni wabunge halali wa Bunge la JMT kwa tiketi ya chama cha CHADEMA, na hii ngoma ninavyoiona ikitoka Baraza kuu break ya kwanza ni mahakamani kuchukua ubunge wa Mahakama.
LENGO LA KWENDA MAHAKAMANI KWA CHADEMA NI NINI? MAANA HATA WAKIENDA HUKO HAKUNA CHOCHOTE KITABADILIKA. MAHAKAMA HAIWEZI KWENDA KINYUME NA JIWE NA JOBChadema hawapi makini Prof. Safari aliwashauri waende mahakamani ili mahakama watoe tafsiri juu ya ubunge wao lakini kuna kama kamchezo wanacheza cha kuuma na kupuliza inaonyesha wasi wana baraka zote za viongozi wa juu.
inaonekana wewe unajua zaidi kuliko makamu wa rais wa chadema awamu iliyopita ambaye ni profesa na mwanasheria PROF. SafariLENGO LA KWENDA MAHAKAMANI KWA CHADEMA NI NINI? MAANA HATA WAKIENDA HUKO HAKUNA CHOCHOTE KITABADILIKA. MAHAKAMA HAIWEZI KWENDA KINYUME NA JIWE NA JOB
Mdee na wenzake walishavuliwa uanachama wa Chadema , hatuwezi kujadili yaliyokwishaTueleze ukweli unao ufahamu wewe, hivi suala lina onekana kama kizungumkuti vile. Mitandaoni tunang'ang'ana, watoshe na uhalisia ama ukweli ni upi?