Jamani, baada ya kujenga hili kaburi la mpendwa wetu, tunaomba ndugu Kishati aongee maneno mawili matatu...
Kishati: Kiukweli haka ka kaburi kametokelezea mno, duh!!! yaani hadi kanahamasisha kufa! Ni kazuri mno.. binafsi nimejikuta natamani hata kufa
Watu: Ayaa, sio mzima huyu!