Kisamvu...

Kwahiyo kwa sasa unakipata na kukitumia kwa urahisi??
 
Jinsi uliivyoelezea umenifanya kama nakuona kabisa jinsi unavyoipika hiyo mboga ya Kisamvu. Yaani mwili wote ulikuwa unasisimka kwa raha. Kama hautojali tupia hata ka video clip bibie.
 
Jinsi uliivyoelezea umenifanya kama nakuona kabisa jinsi unavyoipika hiyo mboga ya Kisamvu. Yaani mwili wote ulikuwa unasisimka kwa raha. Kama hautojali tupia hata ka video clip bibie.
Lol,.ntajitahidi basi kunogesha na video siku moja,.😊
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…