Tobii
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 282
- 286
🙂🙂🙂🙂🙂 Nitamwangalia Tom & Jerry mpaka na wajukuu zangu....Tom ni Jangili, Jerry akiingiia kwenye 18 aisee inakua shida
🙂🙂🙂🙂🙂 Nitamwangalia Tom & Jerry mpaka na wajukuu zangu....Tom ni Jangili, Jerry akiingiia kwenye 18 aisee inakua shida
Uncle kweli umekimbia KILINGE umehamia udakuni?![]()
![]()
![]()
kweli kuchele! Na hapo hujafikisha hata miezi 4 ndani ya JF! Nyie ndio ambao hufa kwa kihoro
Cha kufurahisha ni kwamba nimekufanya usome na uchangie! Wasiopenda udaku wamepita kimya kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Aiseee!!Wewe mwenyewe lisura lako linaonekana libaya maana pamoja na kuweka miwani linaonekana kituko tu. Unakimbilia udaku wa kikekike ili kuongeza idadi ya threads?
Uncle kweli umekimbia KILINGE umehamia udakuni?![]()
![]()
![]()
![]()
Au mna matani na huyo Agent wa SHILAWADU??