Kisa nini? Macho kodo!?

Kisa nini? Macho kodo!?

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli kuchele! Na hapo hujafikisha hata miezi 4 ndani ya JF! Nyie ndio ambao hufa kwa kihoro
Cha kufurahisha ni kwamba nimekufanya usome na uchangie! Wasiopenda udaku wamepita kimya kimya

Sent using Jamii Forums mobile app
Uncle kweli umekimbia KILINGE umehamia udakuni? [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Au mna matani na huyo Agent wa SHILAWADU??
 
Wewe mwenyewe lisura lako linaonekana libaya maana pamoja na kuweka miwani linaonekana kituko tu. Unakimbilia udaku wa kikekike ili kuongeza idadi ya threads?
Aiseee!!
It seems bado upo in search of the promised land!...
Kabla hujakubali kucheza jaribu kuchunguza unacheza na timu gani, usikurupuke tuu kwa vile una uzoefu na aina ya mchezo uchezwao.
 
Back
Top Bottom