pierre tall
JF-Expert Member
- Nov 5, 2013
- 4,246
- 3,735
Aliyeelewa naomba aninukuu anieleweshe...bado sijaelewa hii mada
Hii nchi ina wajinga sana ndio maana tunatawaliwa na ccm
Habari wakuu,
Jamani naombeni msaada mpenzi wangu amepaniki sana kisa nimedate nae bila kondom anadai nimemharibia maisha na anadai ammeniacha na kama ni mtoto wangu atanitafuta.
Ni mpenzi wangu tuna miezi 6 sasahivi na amedaii atahama eneo analoishiii na amedaii amechoka kuumizwa mapenzi yanamuumiza sana na anadai anataka kujiua huko aendako.
Jamani nisaidieni, naombeni ushauri
Naona anaipenda condom kuliko wewe, sijui unaonaje?yaan ni kwamba wadau nimefanya mapenzi nae bila kutumia kinga kwahiyoo anadai kuwa tuachane mapenzi yanamuumiza, ila ni mtu wakukasirika sana kitu kidogo kanuna . daah msaada wadau maana ananipenda saana kwaninavo mjuaa sa sijui kawaza nin jamaanii,
lakini angalau wewe unajua kuandika hata kama unacho andika hakieleweki!!