Kisa kudate bila kondom kaniacha

Kisa kudate bila kondom kaniacha

habri wakuu…. jamni naombeni msaada mpenzi wanguu amepnki sanaa kisa nimedate nae bila k anadaii nimemharibia maishaa na anadaii ammeniacha na kama ni mtoto wangu atanitafta, ni mpenzi wangu tuna miezi 6 sasahivii……. naombeni ushaurii maana amedaii atahama eneo analoishiii na amedaii amechoka kuumizwa mapenzi yanamuumiza sanaa… .jamni nisaidienii na anadai anatka kujiuua huko aendakoo….

msaada wadauu

Umekula maharage?mbaazi au choroko??Maana unaandika kama vile unaharaka ya kwenda msalani!!Mweee, JF kuna vituko mweee!Haya wacha walokuelewa waje wakushauri mi nimetoka kapa
 
yaan ni kwamba wadau nimefanya mapenzi nae bila kutumia kinga kwahiyoo anadai kuwa tuachane mapenzi yanamuumiza, ila ni mtu wakukasirika sana kitu kidogo kanuna…. daah msaada wadau maana ananipenda saana kwaninavo mjuaa sa sijui kawaza nin jamaanii,
 
yaan ni kwamba wadau nimefanya mapenzi nae bila kutumia kinga kwahiyoo anadai kuwa tuachane mapenzi yanamuumiza maana kila nikimkoseaa ata kwa kitu kingnee analalmika sana sanaa so anadai amechoka kuumia kisa mapenzi, ila ni mtu wakukasirika sana kitu kidogo kanuna…. daah msaada wadau maana ananipenda saana kwaninavo mjuaa sa sijui kawaza nin jamaanii,
 
ndugu yangu rekebisha basi uzi wako hulitendei haki jukwaa,kuna wasomi na watu wanaojitambua huku mkuu ,kama vipi upeleke fb kwa wenzio
 
Huyu kijana kanisababishia usumbufu sana huyu
 
Nimekuelewa na huna haja ya kuendelea kuwa nae maana mapenzi hayalazimishwi,siku nyingine acha ngono zembe utakufa na ngoma.
 
Jamani huyu kakutana kimwili na mpenziwe bila kutumia kinga, sasa huyo mpenzi wake anajistukia tu, hata hiyo mimba huenda hajapata, ni hofu tu inamsumbua, hivo amemwambia huyu mleta mada (mpenzi wa huyo dada) waachane na anaondoka mbali kama ni mtoto wake atamtafuta (hapa anajihami kama itakua amepata mimba) ndio atamtafuta. - nimewaelewesha huku nikitoa na majibu kimtindo.

Ushauri.

Kaka huyo mpenzi wako anasumbuliwa na woga na hofu, hapo anahisi tayari umempa mimba na pengine magonjwa hivyo hajiamini, na kama alikwambia hataki kushiriki bila kinga wewe hukumsikiliza hilo ni tatizo.

Cha kufanya hapo ni yeye kupima kujua kama amebeba mimba au la? ikiwezekana mpime na magonjwa pia. Mkiwa vizuri jaribu kwenda nae kwa akili, na umsikilize, mtadumu tu.

Nb:
Kama tayari mlishapima akakuta ana mimba useme, maana kwenye post hujaweka wazi, ulikua unawaya waya tu. Kama sijakuelewa na mimi njo u cancel hii kitu ili nisipoteze lengo lako.
 
Naomba anaejua maana ya kudate anijuze mi sijasoma kidhungu
 
Nawe unashindwa kumsoma mpenzi wako? Huyo sio mkasirikaji ila anapenda mapezi ya kudekezwa ila wewe hujui?
Hebu nawe onesha kuwa unampenda mana umetegwa hapo tafta zawadi mzuri sana ukiambatanisha na kadi ya mziki na maua mazur kisha nenda kamuombe samahani ukiambatana na rafk yake.
Ukifika piga magoti na ukiweza bwaga chozi mzee mapenzi siyo kwenda kwa mganga ni techniq.
Hapo utakuwa umemmaliza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom