majimotozi
Member
- Apr 27, 2015
- 17
- 6
yaan ni kwamba wadau nimefanya mapenzi nae bila kutumia kinga kwahiyoo anadai kuwa tuachane mapenzi yanamuumiza maana kila nikimkoseaa ata kwa kitu kingnee analalmika sana sanaa so anadai amechoka kuumia kisa mapenzi, ila ni mtu wakukasirika sana kitu kidogo kanuna . daah msaada wadau maana ananipenda saana kwaninavo mjuaa sa sijui kawaza nin jamaanii,
Ile ya mwanzo ina unaunafuu!