Kisa kudate bila kondom kaniacha

Kisa kudate bila kondom kaniacha

Crystal field theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 16, 2014
Posts
951
Reaction score
412
Habari wakuu,

Jamani naombeni msaada mpenzi wangu amepaniki sana kisa nimedate nae bila kondom anadai nimemharibia maisha na anadai ammeniacha na kama ni mtoto wangu atanitafuta.

Ni mpenzi wangu tuna miezi 6 sasahivi na amedaii atahama eneo analoishiii na amedaii amechoka kuumizwa mapenzi yanamuumiza sana
na anadai anataka kujiua huko aendako.

Jamani nisaidieni,
naombeni ushauri


 
habri wakuu…. jamni naombeni msaada mpenzi wanguu amepnki sanaa kisa nimedate nae bila k anadaii nimemharibia maishaa na anadaii ammeniacha na kama ni mtoto wangu atanitafta, ni mpenzi wangu tuna miezi 6 sasahivii……. naombeni ushaurii maana amedaii atahama eneo analoishiii na amedaii amechoka kuumizwa mapenzi yanamuumiza sanaa… .jamni nisaidienii na anadai anatka kujiuua huko aendakoo….

msaada wadauu

Umesoma uzi wako na kuuelewa kweli mkuu??
Ndo ninyi mnaandikaga notes hata kuzisoma hamuwezi.
Jamani mlioelewa msaidieni.
 
lakini angalau wewe unajua kuandika hata kama unacho andika hakieleweki!!
 
umedate nae bila k....mmh hapa unamaanisha nn?

unajua maana ya kudate?
 
Enheee! Endelea2 Kwan Hadithi Yako Imeishia Hapo!
Au Hukuielewa Vizur Hadithi Ya E.Shigogongo?
 
na wewe doo na yeye ili tusimwambie na mimi alafu ahame sasa tatizo kwani nini wako mpenzi

ushauri wangu ndio huo uufwate sana
Napenda sana shule za kata na kizazi cha "Big resule now"
 
Bila k inamaanisha bila kitumia kinga.

Ila unaandika unatafuta msaada au kwani nyie mnaofupisha maneno mmeambiwa forum hii inasevu nafasi kwa kufupisha kama sms.

Mimba ndio umempa na kama ni mtoto wako atakupa kwa hiyo kwanini haupati picha kuwa ulikuwa na wenzako wote mnampa sevisi au ni hasira tu labda.

Inabidi uongeeeee zaidi kwa nini anaogopa mapenzi ilikuwaje? Na kujiua kwanini?

Funguka upewe ushauri umemfanya nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom