Mzee Chapuuka
Member
- Apr 21, 2017
- 97
- 243
Mada tajwa yahusika
Leo nlikua na miadi na baby wangu yule wa kunipunguza uzito na yeye mwenyewe aliniambi ukitoka Job nishtue
Nlipotoka job nkamwambia natangulia ghetto akasema poa mi najiandaa
Kabla sijafika home msg inaingia ,"Sweet nna shida ya elfu 30 nikopee AF mi ntakurudishia mpnz"
Nkamjibu "mbona ghafla sina Kwa kukopa hela saa hivi katikati ya mwezi" na "mwenyewe hapa nna madeni mengi mno"
Akajibu "hata nusu"
Nkamwambia haiwezekani hali mbaya saa hivi katikati ya mwezi.
Hadi naandika Uzi huu demu simwoni ghetto
Demu wa miaka 21 ni tabu tupu
Leo nlikua na miadi na baby wangu yule wa kunipunguza uzito na yeye mwenyewe aliniambi ukitoka Job nishtue
Nlipotoka job nkamwambia natangulia ghetto akasema poa mi najiandaa
Kabla sijafika home msg inaingia ,"Sweet nna shida ya elfu 30 nikopee AF mi ntakurudishia mpnz"
Nkamjibu "mbona ghafla sina Kwa kukopa hela saa hivi katikati ya mwezi" na "mwenyewe hapa nna madeni mengi mno"
Akajibu "hata nusu"
Nkamwambia haiwezekani hali mbaya saa hivi katikati ya mwezi.
Hadi naandika Uzi huu demu simwoni ghetto
Demu wa miaka 21 ni tabu tupu