Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 17,455
- 21,172
- Thread starter
- #161
Na Besta jinsi alivyokuwa mapepe vile hatukutegemea kama wangedumu hivi.Yaan ukiwaona mmh Ila wameamua maisha yao na wamedumu
Na Besta jinsi alivyokuwa mapepe vile hatukutegemea kama wangedumu hivi.Yaan ukiwaona mmh Ila wameamua maisha yao na wamedumu
Mkurya huyo.Nani kakudanganya ni mkurya?
Jide ameahidi atatoa wimbo kabla mwaka kuisha au mwanzo wa mwaka mwakani.Duhhh wote hawa walituburudisha mno kipindi kileee.
Na hisi mmoja wao atatoa nyimbo mpya soon. hii ni njia mmoja wapo tu ya watu kuwaongelea.
tuongee yote ila jay dee mbaya jamani, huyu sidindishi hata kwa utani.
Msidanganyike na jina wambura, kote wanatumiaMkurya huyo.
Jay dee alikuwa msanii wa washamba waulize watoto wa mjini utaelewa.Ndivyo unavyowandanya kwenye vijiwe unavyokaaga enh!😝😝😝.
Kabisa Sema Wana hali ngumu sanaYaan ukiwaona mmh Ila wameamua maisha yao na wamedumu
Wamechakaa eti ila kuwa pamoja ni muhimuKabisa Sema Wana hali ngumu sana
Kwa hili nawapongeza kwakweliWamechakaa eti ila kuwa pamoja ni muhimu
Kazi gani? 😂😂😂😂WANAUME MNAKAZI SANA,MAMAAE!
hivi kweli mtu uko serious unauliza hit songs za jide1.Umenikataa 2.upo wapi ( hii shooting yake ni nje 3.sogea sogea 4.Na wewe milele 5. Wanifuata wa nn.
Taja hizo za sauti ya zege!
Kwenye kumfananisha Ray C na Besta nakataaa ni sawa na kufananisha andazi na jenereta
Acha waniuwe tu lakini utani siachi😂😂😂😂 ww uwo utaniwako ipo siku utakuponza
Unaonekana Bado mtoto Kuna wengine wanasikiliza Melody tu kwa Hilo jide is the best anajua kuimba haboi ...Ray c she is talented lakini hawezi toboa kwa mziki wa siku hiziUnazungumzia band na nyimbo za juzi ...kwanza tumia akili Ray c alikuwa na swaga kitambo ni mtoto wa mjni anajua kucheza na video ,jaydee bado ni mshamba kwa Ray c huo ndio ukweli.
Katika level za mziki Ray c alikuwa moto hata wasanii wa kike walikuwa wanampenda kama role model wao .
Nimepitwa aiseee. Ila kusema kweli ile couple haikua inaendana basi tuuuu nlikua naona kama Aish kapotea njia. Kwahiyo mrembo Aishwarya kakimbia gubu la mama mkwe.Aishwarya Rai kaachika huko kwa Abhishek ,umesikia?
Sababu kuu inasemekana Jaya Batchan amechangia kwa kiasi kikubwa ,Aishwarya na Jaya walikuwa na mgogoro kwa muda mrefu uliopelekea wasisemeshane mtu na mkwewe kwa muda mrefu.
Hivyo ikawa ngumu kwa Abhishek achague aegemee wapi kwa mke au mama yake mzazi.
Ikumbukwe pia, chaguo la Aishwarya kwa kiasi kikubwa ilichangiwa na Amitha Batchan ,Amitha hakutaka mwanaye amuoe Karisma Kapoor ,familia hizi mbili hazikuwa na maelewano mazuri hivyo Amitha akaongea na familia ya Aishwarya mwanaye amuoe Aishwarya
Acha uzushi....Ruge alikuwa anawapiga minyama nje minyama ndani x 100 wote wawili hao
ila andiko limeshiba, kama movie vile
Jinsia zote tu wapo 'baadhi yao' kwenye maslahi upendo huwekwa kando.Duh aiseee wanawake hatupendani hasa kwenye maslahi
Kwa kweli hajui anachokisemaBila shaka wewe ni hiki kizazi cha 2000.