Kisa cha Nelson Chisale na Simba wa Mokwalo…!

Kumbe majaji wa Tanzania wapo kila sehemu.
Hili la ubaguzi wa rangi litachukua muda mrefu sana kufutika SA.

Asante Muchambuzi kwa collection zako.
 
Yani kama kawaida yao wazungu wameendelea kutamba katika nchi za africa na kuonekana miungu watu. Wazungu wameendelea kuwa nyanyasa waafrica kila leo, ni waafrica wachache ulipwa vizuri wanapo fanya kazi na wazungu. Na manyanyaso haya hayato kwishwa mpaka hapo serikali za kiafrica zitakapo hacha kuwakumbatia.

Big up mtambuzi
 
nashangaa kuambiwa eti kesi hukumu ilichelewa kusomwa kwa saa 1:30 kumsubiri kaburu amalize kufunga ndoa na mwanamke waliyekutana naye gerezani, it means tayari alijua atatoka tu au ndo kuichezea mahakama?
 
Habari ndeeefu, afu mbona sioni uhusiano wake na jukwaa hili,au kuua mtu,kushtakiwa,kuliwa na simba n.k ni Mahusiano na mapenzi? Kizunguzungu ati!

Hapa ndio panafaa Jukwaa hili linatembelewa na wengi sioni tatizo ikikaa hapa kubadilisha vionjo...
Hilo jamaa lilitakiwa liozee jela sio kutolewa
 
Hawa vimburu wana roho mbaya kama sura zao, ikiwa mfanyakazi aliyekuwa akipokea amri alihukumiwa miaka 15 iweje muuaji mkuu ahukumiwe miaka 5 na msamaha juu? sisi waafrika akili zetu fupi ka nywele zetu. Mtambuzi mjukuu wako TaiJike anakupa hi leo amekabwa mpaka penati maana yuko busy kuliko ulimi wa nyoka.
mbalu (mwangaluka)
Msalimie sana mwambie na mimi nimeshikwa na majukumu ya ulezi hapa nyumbani, mpaka likizo yangu iishe nitakuwa nimeshika adabu.......mama Ngina kajipumzikia zake........................LOL
 
Last edited by a moderator:
mbalu (mwangaluka)
Msalimie sana mwambie na mimi nimeshikwa na majukumu ya ulezi hapa nyumbani, mpaka likizo yangu iishe nitakuwa nimeshika adabu.......mama Ngina kajipumzikia zake........................LOL

Nkaluka bha'bha Mtambuzi e mhola jako jashikaga - habari ya asubuhi njema baba mtambuzi salamu zitafika.
 
Last edited by a moderator:
Duh, mwenye pesa sio mwenzako. Anyways thank you Mtambuzi, story was great, inafundisha sana.:clap2:
 
Inasikitisha sana.. Mara nyingine kwa mifumo ya sheria ya aina hii, afadhali tu kutafuta namna ya kulipa kisasi halafu watu mnaendelea na maisha kama kawaida...
Asante Mtambuzi.
 
Mtambuzi salam zako zilifika nashukuru kwa kunikumbuka. Kisa hiki nilianza kukisoma jana ndo nimemaliza nashukuru sana kwa simulizi zako za kesi za kiuchunguzi, ama kweli dhambi ya ubaguzi ni mbaya kuliko ugonjwa wa ukoma.
 
Last edited by a moderator:
Ana bahati msenge yule ningekuwa mpwa wa Chisale ningemtafuta namapanga uraiani mwanaharamu mkubwa yule
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom