Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,467
- 23,745
Hili jambo sikuwa napenda sana kuwahadithia wadau. Lakini leo naona niwape kisa hiki kilichonipata miaka ya 2000s.
Mimi nimekulia Sinza kivulini kwa miaka yangu yote na washkaji kibao ambao wengi walienda Usa na South Afrika. Bongo tulibaki wachache sana ktk group letu. Akina Mandawe na Jitu Utu. Lakini Bozo, King Mayor, Lusugwa na Kaya Man walikuwa na ndoto za kuishi ughaibuni kitambo sana.
Nakumbuka siku hiyo nlienda mtembelea mshkaji maeneo ya Tabata Mawenzi. Tulikuwa ma braza men sana nlienda na Toyota Mark 2
ndo zinatamba.
Nlipofika nikakumbuka kuwa nlikuwa nmeishiwa deodorant then kwa jamaa kuna joto sana. Nikapark gari mitaa flani kabla ya kufika Mawenzi.nikashuka nikavuka upande wa kulia kulikuwa na duka la vipodozi limechangamka sana. Yaani vitu vingi.
Nikaenda dukani. Kumwangalia muuzaji...dada mmoja mzuri kinyama.ila umri alikuwa anaonekana amenizidi kidogo.pembeni yake yupo msaidizi.
Yule dada alinivutia sana.kiumri alikuwa amenizidi kidogo ila alikuwa anaonekana mzuri zaidi then ana body nzuri kama kuna uarabu kwa mbali.mweupe na urefu wa wastani.
Nlipoteza muda pale nikajikuta nimenunua Nivea Deodorant,Body Spray, nikanunua na perfume, mkanda wa kiuno na mafuta ya nywele. Vitu hivyo vingine sikupanga hata kununua. Nilinunua na miwani ya jua.
Nikamwambia kuna perfume flani nahitaji. Nlijua hana sema nlikuwa natafuta namna ya kupata namba yake ya simu. Nikamtajia akanambia akienda Town atanitafutia.nlimweleza mimi si mwenyeji Tabata so tupeane number za simu akienda kuchukua mzigo akipata anijulishe but pia kama atapata mambo mengine mazuri anijulishe.
Nikaondoka. Siku nzima nlijikuta namfikiria yeye tu. Kila nikikaa namwona huyu hapa. Kesho yake nikamsalimia kwa simu baada ya week akanambia kuna mzigo ameleta. Nilimfuata tena. This time nlitumia kama 170,000 kununua mazaga zaga kwake.
Week ya pili nikaanza funguka.yule dada aligoma.akanambia hapana ana mtu.nlimsisitizia sana.nikawa naenda nampa zawadi ,sometimes tunatoka ile jioni. Nikawa sielewi anasema ana mtu but mbona yupo free sana.
Mi nliendelea kupush ili nile mzigo. Mwishoni sana akakubali tuwe wapenzi. Nakumbuka siku ya kwanza nmeenda naye lodge mashine iligoma kabisa kucharge. Tulihangaika sana. Mashine haipati moto. Nikahisi labda mshtuko. Basi tukaishia kupiga love stories tu. Tukaagana nikiwa na fedheha sana. Yeye hakuonesha kusikitika au kushtuka.
Ile nmerudi home kumfikiria tu mashine imejaa charge kinoma. Usiku nmelala siku hiyo nikaota jamaa mmoja kaja ananipiga beat nmemchukulia mke wake. Tuligombana na jamaa kwa maneno sana. Asubuhi nikaamka nmechoka sana.
Ikapita. Usiku nikaota tena ndoto kama ile. Sikujali nlijua ni mawazo tu.
Mara ya pili nikaomba tena game. Nakumbuka siku hiyo ilikuwa Ijumaa nikapita mitaa flani kwa wana wangu walikuwa wamepika kitimoto. Sisi tulikuwa hatuna dini kwa kweli. Tuligonga na ugali nikashiba sana.nikapiga na Malta Guiness nikaelejea tbt kumchukua mrembo.
Miaka hiyo hapa Makaburini kuna Lodge inaitwa Kilimanjaro ilikuwa bado mpya kabisa (kwa sasa nadhani imechoka) basi naelekea Tabata, mashine ipo juu ile mbaya yaani full charged aisee. Nikasema leo ntamchapa nao huyu dada kinyama, yaani ntamchapa sana.
Nilifika nikamchukua kurudi naye Kilimanjaro maana room yangu ilikuwa ghorofa ya pili nliipenda coz ilikuwa na bath tub so sometimes tunacheza kwenye maji.
Nikaingia naye room....
Inaendelea chini kwenye posts nyingine.
Mimi nimekulia Sinza kivulini kwa miaka yangu yote na washkaji kibao ambao wengi walienda Usa na South Afrika. Bongo tulibaki wachache sana ktk group letu. Akina Mandawe na Jitu Utu. Lakini Bozo, King Mayor, Lusugwa na Kaya Man walikuwa na ndoto za kuishi ughaibuni kitambo sana.
Nakumbuka siku hiyo nlienda mtembelea mshkaji maeneo ya Tabata Mawenzi. Tulikuwa ma braza men sana nlienda na Toyota Mark 2
ndo zinatamba.
Nlipofika nikakumbuka kuwa nlikuwa nmeishiwa deodorant then kwa jamaa kuna joto sana. Nikapark gari mitaa flani kabla ya kufika Mawenzi.nikashuka nikavuka upande wa kulia kulikuwa na duka la vipodozi limechangamka sana. Yaani vitu vingi.
Nikaenda dukani. Kumwangalia muuzaji...dada mmoja mzuri kinyama.ila umri alikuwa anaonekana amenizidi kidogo.pembeni yake yupo msaidizi.
Yule dada alinivutia sana.kiumri alikuwa amenizidi kidogo ila alikuwa anaonekana mzuri zaidi then ana body nzuri kama kuna uarabu kwa mbali.mweupe na urefu wa wastani.
Nlipoteza muda pale nikajikuta nimenunua Nivea Deodorant,Body Spray, nikanunua na perfume, mkanda wa kiuno na mafuta ya nywele. Vitu hivyo vingine sikupanga hata kununua. Nilinunua na miwani ya jua.
Nikamwambia kuna perfume flani nahitaji. Nlijua hana sema nlikuwa natafuta namna ya kupata namba yake ya simu. Nikamtajia akanambia akienda Town atanitafutia.nlimweleza mimi si mwenyeji Tabata so tupeane number za simu akienda kuchukua mzigo akipata anijulishe but pia kama atapata mambo mengine mazuri anijulishe.
Nikaondoka. Siku nzima nlijikuta namfikiria yeye tu. Kila nikikaa namwona huyu hapa. Kesho yake nikamsalimia kwa simu baada ya week akanambia kuna mzigo ameleta. Nilimfuata tena. This time nlitumia kama 170,000 kununua mazaga zaga kwake.
Week ya pili nikaanza funguka.yule dada aligoma.akanambia hapana ana mtu.nlimsisitizia sana.nikawa naenda nampa zawadi ,sometimes tunatoka ile jioni. Nikawa sielewi anasema ana mtu but mbona yupo free sana.
Mi nliendelea kupush ili nile mzigo. Mwishoni sana akakubali tuwe wapenzi. Nakumbuka siku ya kwanza nmeenda naye lodge mashine iligoma kabisa kucharge. Tulihangaika sana. Mashine haipati moto. Nikahisi labda mshtuko. Basi tukaishia kupiga love stories tu. Tukaagana nikiwa na fedheha sana. Yeye hakuonesha kusikitika au kushtuka.
Ile nmerudi home kumfikiria tu mashine imejaa charge kinoma. Usiku nmelala siku hiyo nikaota jamaa mmoja kaja ananipiga beat nmemchukulia mke wake. Tuligombana na jamaa kwa maneno sana. Asubuhi nikaamka nmechoka sana.
Ikapita. Usiku nikaota tena ndoto kama ile. Sikujali nlijua ni mawazo tu.
Mara ya pili nikaomba tena game. Nakumbuka siku hiyo ilikuwa Ijumaa nikapita mitaa flani kwa wana wangu walikuwa wamepika kitimoto. Sisi tulikuwa hatuna dini kwa kweli. Tuligonga na ugali nikashiba sana.nikapiga na Malta Guiness nikaelejea tbt kumchukua mrembo.
Miaka hiyo hapa Makaburini kuna Lodge inaitwa Kilimanjaro ilikuwa bado mpya kabisa (kwa sasa nadhani imechoka) basi naelekea Tabata, mashine ipo juu ile mbaya yaani full charged aisee. Nikasema leo ntamchapa nao huyu dada kinyama, yaani ntamchapa sana.
Nilifika nikamchukua kurudi naye Kilimanjaro maana room yangu ilikuwa ghorofa ya pili nliipenda coz ilikuwa na bath tub so sometimes tunacheza kwenye maji.
Nikaingia naye room....
Inaendelea chini kwenye posts nyingine.