Kirusi Website ya Tanzania Investment Centre (TIC)

zomba

JF-Expert Member
Nov 27, 2007
17,240
3,910
Nimekumbana na kirusi kilichozuiliwa kuingia kwenye laptop yangu baada ya kuingia website ya TIC na nikajulishwa kama hivi:

OjruFL43BEF2FUfHnTd++tPteFKLXv8PveCBwwscatMAAAAASUVORK5CYII=



Haya vijana nipeni ujanja natumia avast anti virus.
 

Attachments

  • TIC virus.JPG
    TIC virus.JPG
    7.2 KB · Views: 41
malawi wameshaanza vita.hata mtoto anaweza kutambua kwani ndani ya wiki moja website kama nne hivi zimeingiliwa.
haya tuendelee na majadiliano.


KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA
 
Hata Nehemia na NHC yao wamevamiwa. hawako tena hewani. Hizi idara zote zina watu wa IT lakini virusi vinawavamia. kazi yao kulalamikia wansiasa tu. Sasa hata kirusi aje Kikwete kkukitoa!!!
 
Jamani mnajua ni ngumu sana kumcontrol hacker hata unefanya encryption ya namna gani that is what i believe. so me shangai niliona watu waliponda sana mambo ya ndani ilivyoingiliwa najua wengine hapa watanza kusema virus sio hacker ni s/w attack all in all they go papendikula.Kama hawa baba zetu wa technologia wamevamiwa je sisi?!Tafakari


Apple and Amazon are changing their security policies
after hackers broke into a journalist's personal accounts. The change comes
following a hack into Wired reporter Mat Honan's iCloud
account, in which perpetrators wiped his iPad, Mac and iPhone.
 
yees,na hii?
Cyberweapon targets Middle East bank accounts



This is a Code from the Gauss virus, a new cyberweapon that attacks bank accounts.


NEW YORK -- A new cyberweapon that secretly steals bank account information from its victims was exposed on Thursday.
The sophisticated malware, [SIZE=+0]discovered by Internet security company Kaspersky Labs[/SIZE], has been capturing online bank account login credentials from its victims since September 2011. There's no evidence it's been used to steal any money. The virus instead appears to be a spy interested in tracking funds: It collects banking login information, sends it back to a server, and quickly self-destructs.

Dubbed "Gauss," a name taken from some of the unique file names in its code, the malware appears to be a cyber-espionage weapon designed by a country to target and track specific individuals. It's not known yet who created it, but Gauss shares many of the same code and characteristics of other famous state-sponsored cyberweapons, including [SIZE=+0]Stuxnet[/SIZE], Duqu and Flame.
Those viruses are widely believed to have been developed by the U.S. government. But unlike Stuxnet and Flame, which targeted an Iranian nuclear facility and spied on Iran's government officials, Gauss seems to have primarily gone after people in Lebanon.
Of the 2,500 or so discovered instances of Gauss across the world, about 1,660 of them were found in Lebanon. The virus is specifically designed to target customers of Lebanese banks, as well as Citibank and eBay's PayPal, which are widely used in Lebanon.
Kaspersky also found 483 instances of Gauss in Israel and 261 in the Palestinian territories. Only 43 Gauss instances were found to be in the United States, and just a handful were discovered in other parts of the world.








 
Jamani mnajua ni ngumu sana kumcontrol hacker hata unefanya encryption ya namna gani that is what i believe. so me shangai niliona watu waliponda sana mambo ya ndani ilivyoingiliwa najua wengine hapa watanza kusema virus sio hacker ni s/w attack all in all they go papendikula.Kama hawa baba zetu wa technologia wamevamiwa je sisi?!Tafakari


Apple and Amazon are changing their security policies
after hackers broke into a journalist's personal accounts. The change comes
following a hack into Wired reporter Mat Honan's iCloud
account, in which perpetrators wiped his iPad, Mac and iPhone.

Hatuwalaumu kwa kuwa hacked, tunawalaumu kwa late response.
 
Du TIC. Hicho nidyo kituo chetu cha uwekezaji Tanzania!!!! Mwekezaji akigonga tu anatoka na kirusi!!! It is pathetic, the leadership.
 
Back
Top Bottom