Mi nilivyoona heading nikajua kirusi kweli,kumbe ni huyo bacteria Escherichia coli! Mbona hana noma kabisa na tunaishi naye peaceful ktk mwili wetu tena huwa anatulinda.Kajipange upya kisha uje na kirusi chako hatari labda ndo tutakuogopa! Just joking, welcome to the world pal!!!!!!!!!!!!