Lazima atakuwa muumini(Msabato),kuna Mtoto wake nilisoma nae miaka hiyo ya nyuma pale Nsumba alikuwa mstari wa mbele sana kwenye kutoa zaka na alikuwa msabato wa ukweli kiitikadi ila huyu Baba yake anaonekana Mnafiki tuuh hana lolote nahis hata iyo J'mos atakuwepo watakapokuwa wanamhalalisha huyo Fisadi wao badala yakuiheshimu sabato nakuitakasa.