Kippi Warioba jiheshimu

Kippi Warioba jiheshimu

Amiliki

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2011
Posts
2,085
Reaction score
1,005
Hunifahamu, sikufahamu. Ni kweli nimejiandikisha Mikocheni ambayo ipo Jimbo la Kawe. Kitu kinachonishangaza imekuwaje Tume wakupe namba yangu ya simu na kuanza kunitumia meseji kila siku za kampeni zako za kisiasa?

Imekuwaje uitafute na kupata namba yangu ya simu bila ridhaa yangu?


Na nyie watu wa Tume wa Mikocheni nilipojiandikisha kwenye BVR, inakuwaje mmempatia mtu mwingine details zangu bila ruhusa yangu?

Huku mchezo huu ukiwa unaendelea, nawaomba sana TCRA hebu mwiteni KIPPI Warioba na mumuhoji ni kwanini anawatumia watu msg bila ya ridhaa yao? Na kama mtataka ushahidi mimi ni mmoja wa watu tutakaojitokeza na ushahidi wa hizo sms zake anazozituma.

Mpaka mtu wa CCM kuweza kupewa details za mpiga/Wapiga kura, je bado tuendelee kuamini kwamba hoi tume ya uchaguzi ni huru?
 
Makubwa. Mfa maji haachi kutapatapa. Unaweza washtaki km una muda na hela kwa kutoa siri.
 
Sio wewe tu mkuu hata mm alinitumia meseji kunialika kwenye mkutano wake jumapil nilishangaa sana amepataje namba!
 
Hapo ndo tujue kabisa taarifa zetu sio salama
 
1443795512285.jpg Hii ni moja za sms ambayo amenitumia muda huu.
Nasema Akome. Anachotakiwa kukifanya kwasasa ni kuandaa mawakili wa kumtetea dingi wake pindi Ukawa ikiingia madarakani juu ya wizi wake kupitia kampuni ya Meremeta. Asidhani Watanzania ni mazuzu na kwamba tunasahau kirahisi kihivyo!
 
Nimejiandikishia kwenye kituo kilichopo mtaa wa nyumba za Mawaziri. Waandikishaji lazima wahojiwe. Maana ililetwa mijitu isiyojua chochote ila ni kwasababu ni miccm tu basi ndio ikawa kigezo cha kuteuliwa kuwa waandikishaji wasaidizi. Kumbe waliwekwa pale purposely.
 
Ongea na mobile operator wako. Masharti ulioyo sign wakati unachukua simu yanaruhusu matangazo. Hata wewe ukitaka peleka tangazo lako, walipe wanalisukuma tu. Mimi nimejiandikisha kinondoni lakini nimepata pia. Na ni ujumbe mzuri of course, jione mwenye bahati kupata ujumbe huu.
 
Mimi nimewapigia tigo customer care nikawaambia wasinitumie huo upumbavu,wakatoa
 
Ongea na mobile operator wako. Masharti ulioyo sign wakati unachukua simu yanaruhusu matangazo. Hata wewe ukitaka peleka tangazo lako, walipe wanalisukuma tu. Mimi nimejiandikisha kinondoni lakini nimepata pia. Na ni ujumbe mzuri of course, jione mwenye bahati kupata ujumbe huu.

Hilo siyo tangazo huo ni ujumbe mfupi. wewe na kippi ni wapumbavu kwa mujibu wa mkapa viwanja vya jangwani,
 
Ongea na mobile operator wako. Masharti ulioyo sign wakati unachukua simu yanaruhusu matangazo. Hata wewe ukitaka peleka tangazo lako, walipe wanalisukuma tu. Mimi nimejiandikisha kinondoni lakini nimepata pia. Na ni ujumbe mzuri of course, jione mwenye bahati kupata ujumbe huu.

Wewe ni mmoja wa mareject katika uumbaji wa mungu.
 
AJIRA NA BIASHARA: Pamoja na kuwasaidia urasimishaji wa vikundi na mafunzo, pia nitawaunganisha wajasiriamali waweze kufanya biashara na makampuni makubwa yaliyopo ndani ya jimbo la Kawe.
 
january Makamba ndio muanzilishi wa huu ushenzi huku akiwa naibu waziri wa Wizara ya Mawasiliano na uhuni,ndio huyu huyu na Makame walioleta sheria ya Mitandao!!

Cha ajabu yeye Kigwangallah na Mwigulu Nchemba ndio wameandaliwa na Kikwete!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom