kipindupindu is back!!!!!!!

kipindupindu

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2010
Posts
1,054
Reaction score
170
baada ya kutumikia kifungo cha miezi mitatu bila ulalamishi hatimaye nimerudi.nimelimiss jukwaa ile mbaya,nafurahi babu wa loliondo kafifia kama nilivyotabiri.wakuu ban inauma na inafundisha.napenda kuwasalimu wote mlionimiss na wale msionipenda.
tuko pamoja katika ujenzi wa Taifa.
Mods punguzeni adhabu nimekaa kimya lakini adhabu yangu ilikuwa kubwa ukilinganisha na kosa lenyewe.
Im back na sitishiwi nyau,yoyote mwenye kuleta mizengwe nitampa kubwa bila kujali BAN!!!
 
Nilipoona title moyo ukaruka,nilifikiri ule ugonjwa umelipuka.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…