Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 12,231
- 9,552
Huyu mleta hoja anaonekana kuwa anajambo na HALIMA siyo bure.kwa hiyo anataka kutuaminisha kuwa tangu mh amepata ubunge hajawahi kuwatembelea wapiga kura wake hata mara moja?.mbona kuna wengine wanakiri wazi kuwa mbunge wao anakutana nao.je ni kweli kwamba H hajatekeleza ahadi hata moja?.mbona mleta hoja alishawahi kuleta hoja ya lawama km hii lkn H alijitokeza humuhumu akaeleza yale aliyoyafanya na anayokusudia kuyafanya.kwa nini H asipongezwe hata kwa kile kidogo alichokifanya kuliko km hivi anavyo pakwa matope na MAFILILI nime kuwa na mashaka hata anapomuitakuwa ni mb wake naona ni wake kwa sababu anaishi jimboni kwake yeye hakumchaguwa alichaguliwa na wenzake yeye anamjua aliempa kura na ndiye anaemwandaa kuwa mb wake kwa kumpaka H matope iliaonekane hafai ili mb wake apate nafasi.kwanza kazi ya mb sikuwaletea maendeleo wananchi ni kuipelekea serekali matatizo ya wananchi na kuyatatua.hapo sasa km serekali siyo sikivu mb atabadilisha sori na sori lkn hamna kitu.