Kipindi hiki cha janga la COVID19 waandishi wa habari Tanzania mmeonesha udhaifu mkubwa sana

GRAMAA

JF-Expert Member
Nov 1, 2014
1,155
3,399
Katika kipindi cha janga hili la COVID19 waandishi wa habari wa Tanzania wanaonesha udhaifu mkubwa sana juu ya kupapambana na hili janga la COVID19.

Waandishi wa habari wa Kibongo wamekuwa ni watu wa kukurupuka sana kipindi hiki cha COVID19. Udhaifu wao unajionesha kwenye mambo mbalimbali, yakiwepo.

(i) Selection of sources


Waandishi wa habari wengi sana Tanzania wanafeli sana katika kuchagua source ya kuihoji kuhusu mambo ya kitaalamu kuhusu COVID19.

Utakuta mwandishi wa habari anawahoji masheikh, mapadri,wachungaji au mtu yoyote ambaye hana taaluma yoyote ya kidaktari anamuhoji mambo ya kitaalamu kuhusu COVID19. Unadhani hapo utapata majibu gani ya kitaalamu kuhusu COVID19? Huu ni udhaifu mkubwa sana.

(ii) Wamemezwa sana na wanasiasa

Waandishi wa habari wengi sana wanasiasa juu ya taarifa za COVID19.

Utakuta mwandishi wa habari anaripoti story yake ya COVID19 kwa audience ila source ya taarifa hiyo ni mwanasiasa tens mbaya zaidi mwanasiasa huyo ni Paul Makonda au Humphrey Polepole. Very shame.

(iii) Kwenye press conference wanajaa sana.

Bila ya kujali usalama wao,waandishi wà habari wanazajana sana na mike zao. Utakuta wanamuwekea mzungumzaji zaidi ya mike 20 bila hofu yoyote ya COVID19. Very shame.

(iv) waandishi wa Tanzania wotw wanategemea source moja tu ya COVID19.

Na mbaya zaidi hawajui treatment na isolation centers zipo wapi na ngapi.

Very shame
 
Katika kipindi cha janga hili la COVID19 waandishi wa habari wa Tanzania wanaonesha udhaifu mkubwa sana juu ya kupapambana na hili janga la COVID19.

Waandishi wa habari wa Kibongo wamekuwa ni watu wa kukurupuka sana kipindi hiki cha COVID19. Udhaifu wao unajionesha kwenye mambo mbalimbali, yakiwepo.

(i) Selection of sources

Waandishi wa habari wengi sana Tanzania wanafeli sana katika kuchagua source ya kuihoji kuhusu mambo ya kitaalamu kuhusu COVID19.

Utakuta mwandishi wa habari anawahoji masheikh, mapadri,wachungaji au mtu yoyote ambaye hana taaluma yoyote ya kidaktari anamuhoji mambo ya kitaalamu kuhusu COVID19. Unadhani hapo utapata majibu gani ya kitaalamu kuhusu COVID19? Huu ni udhaifu mkubwa sana.

(ii) Wamemezwa sana na wanasiasa

Waandishi wa habari wengi sana wanasiasa juu ya taarifa za COVID19.

Utakuta mwandishi wa habari anaripoti story yake ya COVID19 kwa audience ila source ya taarifa hiyo ni mwanasiasa tens mbaya zaidi mwanasiasa huyo ni Paul Makonda au Humphrey Polepole. Very shame.

(iii) Kwenye press conference wanajaa sana.

Bila ya kujali usalama wao,waandishi wà habari wanazajana sana na mike zao. Utakuta wanamuwekea mzungumzaji zaidi ya mike 20 bila hofu yoyote ya COVID19. Very shame.

(iv) waandishi wa Tanzania wotw wanategemea source moja tu ya COVID19.

Na mbaya zaidi hawajui treatment na isolation centers zipo wapi na ngapi.

Very shame
Una point ya msingi sana, ila naomba nitoe mtazamo tofauti kidogo na hitimisho lako.

Moja, kumbuka waandishi wa habari wanatoka kwenye jamii na ni sehemu ya jamii. Fikra, mitazamo, tamaduni, na vipaumbele vyao vinaakisi aina ya jamii waliyotoka. Ni vigumu sana wawe na fikra, mitazamo au tabia ambazo ni kinyume na jamii inayowazunguka. Hivi wanavyofanya ndivyo vipaumbele vya jamii yetu.

Mbili, ukitaka kuthibitisha tatizo hili, pitia mada zilizoko hapa JF. Kisha fananisha views au kusomwa kwa mada zinazoongelea knowledge au utalaamu na zile zinazoongelea watu (hasa zilizotaja majina na matendo ya wanasiasa). Utaona views za mada za kitaalamu ni chache sana na hizo nyingine ndani ya muda mfupi zaina maelfu ya waliozisoma.

Hivyo basi, hili sio tatizo la waandishi wa habari. Ni tatizo la jamii nzima. Mlipuko wa Covid-19 unatuonesha sisi kama jamii ni wa aina gani. Imetuonesha nafasi ya elimu, maarifa, sayansi na utaalamu ni ndogo sana kwenye nchi yetu. Jamii haijajengwa kuona umuhim wa elimu na utaalamu. Imejengwa kuipa siasa, wanasiasa na wasanii (aka watu maarufu) umuhim juu ya kila kitu

Tuna jukumu kubwa kama nchi kuanza kufikiria namna ambavyo tutabadili jamii yetu kama taifa ili tutangulize elimu, maarifa na utaalamu katika kufanya maamuzi na kutuongoza katika kukabiliana na changamoto zetu (creatign a knowledge based society).

MM Togolani
 
Unataka ya MWANDISHI MZALENDO Azori Gwanda yajirudie?!.......
Authoritarian at work...
 
Katika kipindi cha janga hili la COVID19 waandishi wa habari wa Tanzania wanaonesha udhaifu mkubwa sana juu ya kupapambana na hili janga la COVID19.

Waandishi wa habari wa Kibongo wamekuwa ni watu wa kukurupuka sana kipindi hiki cha COVID19. Udhaifu wao unajionesha kwenye mambo mbalimbali, yakiwepo.

(i) Selection of sources

Waandishi wa habari wengi sana Tanzania wanafeli sana katika kuchagua source ya kuihoji kuhusu mambo ya kitaalamu kuhusu COVID19.

Utakuta mwandishi wa habari anawahoji masheikh, mapadri,wachungaji au mtu yoyote ambaye hana taaluma yoyote ya kidaktari anamuhoji mambo ya kitaalamu kuhusu COVID19. Unadhani hapo utapata majibu gani ya kitaalamu kuhusu COVID19? Huu ni udhaifu mkubwa sana.

(ii) Wamemezwa sana na wanasiasa

Waandishi wa habari wengi sana wanasiasa juu ya taarifa za COVID19.

Utakuta mwandishi wa habari anaripoti story yake ya COVID19 kwa audience ila source ya taarifa hiyo ni mwanasiasa tens mbaya zaidi mwanasiasa huyo ni Paul Makonda au Humphrey Polepole. Very shame.

(iii) Kwenye press conference wanajaa sana.

Bila ya kujali usalama wao,waandishi wà habari wanazajana sana na mike zao. Utakuta wanamuwekea mzungumzaji zaidi ya mike 20 bila hofu yoyote ya COVID19. Very shame.

(iv) waandishi wa Tanzania wotw wanategemea source moja tu ya COVID19.

Na mbaya zaidi hawajui treatment na isolation centers zipo wapi na ngapi.

Very shame
Walishwa dumazwa kutoandika habari za kiuchunguzi, wasamehe bure. Wengi ya kuwapata yaliwapata kwakufanya hivyo
 
Back
Top Bottom