Lu-ma-ga
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 4,780
- 3,227
kazi mliyobakiza chadema ni kupiga ramli, kipindi hiki mtausugua mpaka basi yaaniYuko wapi Rais Samia haonekani mbona
kazi mliyobakiza chadema ni kupiga ramli, kipindi hiki mtausugua mpaka basi yaaniYuko wapi Rais Samia haonekani mbona
It would have sufficed to just pass by quietly had it been that you don't know the answer. And I wasn't aware that inquiring of a possible occurrence is being pessimistic.
Spika wa Bunge
Chadema imeingiaje hapa?Chadema mna maudhi hamjui tuh
Hapana nijuavyo ni Spika, then JajiKwa mujibu wa Katiba atakaechukua hiyo na fasi ni Waziri Mkuu na si Spika.
Uteuzi ufanyike haraka iwezekanavyo tusije tukafikia huku maana nchi itakuwa imerudi kwenye changamoto za kiwango cha SGRSpika wa Bunge
Ni waziri mkuu spika hajatajwa kabisaUkisoma Katiba iliyo katika lugha ya kiswahili inatoa utaratibu uliousema ila ukisoma ile iliyo katika lugha ya kiingereza toleo la 2008 article 37 (3) inasema atakaechukua madaraka ni waziri Mkuu.
Ki utaratibu kukiwa na mgongano kati ya katiba ya lugha ya kiswahili na ile ya lugha ya kingereza ile ya kingereza huchukua
Ni kweli kabisa mkuu. Sema katiba inajichanganya sana. Wanamtaja Spika upande mmoja na upande mwingine PMNi Spika wa bunge naye kama hawezi atachukua Jaji mkuu.
Kama unayosema ni kweli Mbona wakati ule Mkapa alipolazwa Uswisi alimuachia Shein na Shein aliposafiri Msekwa alikalia kiti cha uRais kwa siku 3? Na haikua Sumaye?Ukisoma Katiba iliyo katika lugha ya kiswahili inatoa utaratibu uliousema ila ukisoma ile iliyo katika lugha ya kiingereza toleo la 2008 article 37 (3) inasema atakaechukua madaraka ni waziri Mkuu.
Ki utaratibu kukiwa na mgongano kati ya katiba ya lugha ya kiswahili na ile ya lugha ya kingereza ile ya kingereza huchukua mkondo
Ni kweli kabisa..wakati wa Mkapa ndiyo Spika alikuwa anakaimu Uraisi ikiwa Makamu, na Raisi hawapo.
..miaka ya mwisho ya Raisi Mkapa, bunge lilibadilisha utaratibu huo, na kumuweka Waziri Mkuu kabla ya Spika.
..nadhani sasa hivi wanaoweza kukaimu nafasi ya Raisi ni Makamu, Waziri Mkuu, Spika, na Jaji Mkuu.
Katiba inasema kama rais yuko inje ya inch basi makamu anshikili na kama makamu hayupo pia anashika waziri mkuu na kama wote hawapo mawaziri wanakutana wanampendekeza mmoja ili shikilie na kuongoza mpaka pale atakapopatikana rais..wakati wa Mkapa ndiyo Spika alikuwa anakaimu Uraisi ikiwa Makamu, na Raisi hawapo.
..miaka ya mwisho ya Raisi Mkapa, bunge lilibadilisha utaratibu huo, na kumuweka Waziri Mkuu kabla ya Spika.
..nadhani sasa hivi wanaoweza kukaimu nafasi ya Raisi ni Makamu, Waziri Mkuu, Spika, na Jaji Mkuu.
the grammar school that you have never been to and probably never will. Had you known any better, you would have been aware that "pessimist" is the opposite of "Optimist", the same word you used. Anyway you know best.Which grammar school did you go, even!??? And, where did I write ^pessimist^!???
Kivipi? Katiba imebadilishwa hivi karibuni. Zamani waziri mkuu hakuwa kaimu RaisWalimu wetu wa civics walikuwa wanatudanganya sana aisee
Nilikuwa nataka kujua tu kutoka kwa wenye uelewa zaidi.
Kwa kipindi hiki ambacho Makamo wa Rais hajatangazwa bado, ikitokea Rais aliye madarakani akakutwa na jambo linaweza pelekea kusitisha uwezo wake wa kuwa Rais, nani atashika madaraka?
Hebu kasome kidogo ibara ya 37 mkuu.Kivipi? Katiba imebadilishwa hivi karibuni. Zamani waziri mkuu hakuwa kaimu Rais