Spika wa Bunge
Spika wa Bunge
Ni Spika wa bunge naye kama hawezi atachukua Jaji mkuu.Nilikuwa nataka kujua tu kutoka kwa wenye uelewa zaidi, kwa kipindi hiki ambacho Makamo wa Raisi hajatangazwa bado; ikitokea raisi aliye madarakani akakutwa na jambo linaweza pelekea kusitisha uwezo wake wa kuwa raisi, nani atashika madaraka?
Ni Spika wa bunge naye Kama hawezi atachukua Jaji mkuu.
It would have sufficed to just pass by quietly had it been that you don't know the answer. And I wasn't aware that inquiring of a possible occurrence is being pessimistic.Jamani, jamani, jamani -- daonilodi Katiba kwa hiko simumilisi chako uisome please, sawa!??? Pia, tujifunze kuwa OPTIMISTIC wakati wote, sawa!???
Wanafanya kusudi kuchelewesha mchakato labda kwa nia njema ama dhamira ovu! Nawaza tu...Nilikuwa nataka kujua tu kutoka kwa wenye uelewa zaidi.
Kwa kipindi hiki ambacho Makamo wa Rais hajatangazwa bado, ikitokea Rais aliye madarakani akakutwa na jambo linaweza pelekea kusitisha uwezo wake wa kuwa Rais, nani atashika madaraka?
Nilikuwa nataka kujua tu kutoka kwa wenye uelewa zaidi.
Kwa kipindi hiki ambacho Makamo wa Rais hajatangazwa bado, ikitokea Rais aliye madarakani akakutwa na jambo linaweza pelekea kusitisha uwezo wake wa kuwa Rais, nani atashika madaraka?
Walimu wetu wa civics walikuwa wanatudanganya sana aiseeSpika wa Bunge
Bado yupo kwenye msiba wa ndugu yakeYuko wapi Rais Samia haonekani mbona
Ndugai ataukwaaNilikuwa nataka kujua tu kutoka kwa wenye uelewa zaidi.
Kwa kipindi hiki ambacho Makamo wa Rais hajatangazwa bado, ikitokea Rais aliye madarakani akakutwa na jambo linaweza pelekea kusitisha uwezo wake wa kuwa Rais, nani atashika madaraka?
Ni Spika wa bunge naye kama hawezi atachukua Jaji mkuu.
Sasa itakuwaje mkuu ule mpango wetu wa atawale mpk atakachoka mwenyewe??Chadema mna maudhi hamjui tuh
Msiba upi? Hapa chato hayupo, yupo majaliwa tu!Bado yupo kwenye msiba wa ndugu yake
Chadema walitegemea uchaguzi, jinga kabisa wanasheria wao vilaza akiwemo lissu aliyewalisha TLS matango pori wakatoa ufafanuzi fake. Baada ya H.E.Samia SALUHU kuchukua kijiti mtapoteana 2025Chadema mna maudhi hamjui tuh